Kwa silaha hatuwezi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baada ya kuona kwa silaha hamumuwezi mna anza kuimba twaarab
Kma kweli kuna maandamano hayatakua yakwanza nawala hayatakua yamwisho
Poleni sanaaa....
Sent using Jamii Forums mobile app
Huo mzuka ufanye huku kwa jiwe tuone kama hatuja kookota ukiwa vipande.
Hii hutokea sana duniani. Makosa kama hayo wala siyo mageni katika tasnia ya vita au urushaji wa makombora. Na ndiyo maana tunasema Vita siyo nzuri. Kila leo US huko Afghastan anaua raia kimakosa na dunia inakaa kimya,wanaishia kuomba radhi tu. Ingawa ni jambo baya sana,lakini hiyo uliyoiita ni degree ya precision ni ngumu hata kwa US na NATO wenyewe. Hujawahi kusikia kisa cha ndege ya Korea(KAL) iliyopigwa kombora na ndege vita ya Urusi?Ayatollah amechemka sana Kitendo cha Kulipua Ndege ya abiria ni ujinga mkubwa kwanza Ni lack of Millitary Accuracy and Professionalism...
Kama hivi tu sio Wakati wa vita wamepiga ndege ya abiria, je marekani ikiwapelekea moto kabisa si watalipua hata Hospitali zao wenyewe?? Huu ni uzembe mkubwa na ujinga..
You cannot Just order the lauch of surface to Air Missile bila kuwa na uhakika hilo tu linatosha kuonyesha hawa watu ni Wazembe na wapuuzi kabisa...Dunia nzima ilikua nyuma yao baada ya Mauaji yale ya Soleiman...Ila kwa hili wamedharaulika sana...
Usiseme wabongo waoga sema sisi wabongo ni waoga.Wanachofanyiwa wale wanaonyesha uvumilivu wa hali ya juu kwamba wakija Bongo, mapolisi wa Kibongo watawakimbia.
Polisi TZ nafuu yao ni kwamba Watanzania wengi waoga waoga.
Mkianza maandamano, ije defenda moja ya polisi mnapoteana na kutawanyika, ila kuna mataifa raia wake ni mzuka, wakijitokeza barabarani wanaandamana, yaani jeshi lote la polisi kila mmoja anaamrishwa ahusike kwenye mapambano.
Bongo ni ngumu kutokea.Hata iran watu wanaandamana wakijua kabisa kuna kifo mbele, hivyo watz watakapofika level hiyo ya kujitoa hakuna kitakachowazuia.
Ni suala la muda tu watz hawataogopa kufa wataingia barabarani tena bila kiongozi. Muogope sana binadamu aliye desperate ambaye hana tena cha kupoteza.
Ila kwasababu jiwe ni Kichwa maji atapuuza akidhani watz wataendelea kuwa waoga miaka yote.. Kizazi kinabadilika, hiki kizazi kinachokuja ni kizazi jeuri.. Wait and see.
Sent using Jamii Forums mobile app
Polisi siku zote wanaenda na mzuka wa wananchi wakienda kinyume wataua raia wengi na mwishiwe ni adhabu kwao.Wanachofanyiwa wale wanaonyesha uvumilivu wa hali ya juu kwamba wakija Bongo, mapolisi wa Kibongo watawakimbia.
Polisi TZ nafuu yao ni kwamba Watanzania wengi waoga waoga.
Mkianza maandamano, ije defenda moja ya polisi mnapoteana na kutawanyika, ila kuna mataifa raia wake ni mzuka, wakijitokeza barabarani wanaandamana, yaani jeshi lote la polisi kila mmoja anaamrishwa ahusike kwenye mapambano.
Mzee wa mabattle hadi huku upoHuyo ayatolla na makanzu yake anashushwa mazima mazima...
Wambie Paris huko mpaka leo yako maandamano lakini vyombo vya kimagharibi vinaficha ukweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Yupo mkuu,ingawa hata mimi nimemzoea kule mtani wetu huyu.[emoji3][emoji3][emoji3]
Wewe ni kichwa nini?Hata iran watu wanaandamana wakijua kabisa kuna kifo mbele, hivyo watz watakapofika level hiyo ya kujitoa hakuna kitakachowazuia.
Ni suala la muda tu watz hawataogopa kufa wataingia barabarani tena bila kiongozi. Muogope sana binadamu aliye desperate ambaye hana tena cha kupoteza.
Ila kwasababu jiwe ni Kichwa maji atapuuza akidhani watz wataendelea kuwa waoga miaka yote.. Kizazi kinabadilika, hiki kizazi kinachokuja ni kizazi jeuri.. Wait and see.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ayatollah amechemka sana Kitendo cha Kulipua Ndege ya abiria ni ujinga mkubwa kwanza Ni lack of Millitary Accuracy and Professionalism...
Kama hivi tu sio Wakati wa vita wamepiga ndege ya abiria, je marekani ikiwapelekea moto kabisa si watalipua hata Hospitali zao wenyewe?? Huu ni uzembe mkubwa na ujinga..
You cannot Just order the lauch of surface to Air Missile bila kuwa na uhakika hilo tu linatosha kuonyesha hawa watu ni Wazembe na wapuuzi kabisa...Dunia nzima ilikua nyuma yao baada ya Mauaji yale ya Soleiman...Ila kwa hili wamedharaulika sana...
Kuna mdau alisema Iran ikiingia kweny vita,itaua raia wake na majirani...maana watarusha makombora mashambani,baharini,mahospitalin, airport yani kote hadi miskitini na makanisani...Kiwewe! kiwewe? Kiwewe! Usianzishe Vita na unayemuogopa! Ona sasa kiwewe cha Iran kushambulia kambi za marekani kumegharimu maisha ya watu 176 wengi wao wairan. Unawezaje kutungua ndege iliyoanza kuruka ndani ya mipaka ya nchi? Labda kama ingekuwa inaingia kutoka nje ya mipaka ya Iran! Usianzishe vita na unayemuogopa!! Kwa jinsi hii marekani ikianzisha vita na Irani, Iran itakufa kwa pressure tu ya woga
Hapa sasa sindo mtalipua airport nzima?[emoji16]ALIEKUTUMA MWAMBIE MARA HII TUNAPIGA BASE ZAIDI YA 100 AKILETA FYOKOFYOKO
Sent using Jamii Forums mobile app