Leo hao waandamanaji wamesema adui wao yupo hapa(Iran)Kama utatoa Njia Yakijeshi Ambayo Siiombei Hakuna Njia Nyengine Ambayo Nisahihi Inayoweza Kuuangusha Utawala Wa IRAN Utawala Wa IRAN Unachukiwa Magazetini na Kwa Media ZaWamagharibi Kama Utabahatika Kwenda IRAN Kwenyewe Unaweza Ukaelewa Namaanisha nn
Majority Ya WAIRAN Huwaambii Kitu Kwa Serikali Iliopo Madarakani Japo Wanalalamika Kwa Baadhi Ya Mambo Na Uzuri Zaidi Wanajua Kabisa Nakukwambia Kama Sababu Ya Matatizo Yanaowakumba 90% wana amini yanasababishwa na US/Western.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mwaka 2009 Walivyo Andamana Walitoa Kauli Kali Zaidi Ya Hizi
Wanaweza kuwa wametegeshewa.Ayatollah amechemka sana Kitendo cha Kulipua Ndege ya abiria ni ujinga mkubwa kwanza Ni lack of Millitary Accuracy and Professionalism...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baada ya kuona kwa silaha hamumuwezi mna anza kuimba twaarab
Kma kweli kuna maandamano hayatakua yakwanza nawala hayatakua yamwisho
Poleni sanaaa....
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kuna maandamano basi kuna demokrasia tofauti na ambavyo tumekuwa tukiamishwa ya kwamba ni udikiteta ndio unao tawara Iran.
Siku yapili leo wanataka ayatollah ajichenge
Figisu za USA ni kama maji, usipooga utayanywa. Siombei Iran ianguke ila Khamenei ana wakati mgumu sana.
Hawa warabu nao hawajielewi, alipouliwa Suleimani wakajaa mtaani kutukana US, sasa hivi ajali ya ndege wamejaa mtaani kutukana serikali yao. Wachague moja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Iran na viongozi wake itadumu licha ya chuki zenu. Nimeongea na watu walioko Tehran, Qum, Mash'had, Isfahan kote huko shwari ni amani tupu. Hao wanaoitwa waandamanaji ni wahuni wachache tu waliokua wamelipwa kuleta vurugu Tehran na sasa wameingia mitini.Mkome ubishi, mnachanganyikiwa na kuua raia wenu wenyewe, sasa utawaambia nini Wa-Iran.....Namuona ayatolla na mikanzu yake anawaza jinsi gani ya kuwaelewesha kwa kutumia dini.
Maandamano nihaki yao yakikatiba sasa nashangaa wanaopiga piga kelele kilaleo.....Hahaha USA Mara ngapi yanatokea maandamano ....!!? Maandamano si-ni haki ya wananchi Jamani ..so what ??
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani wanahangaika tu hakuna watakacho kipata maana kuiangusha serikali iliyopo madarakani hawawez na IRAN Network Inapiga Kazi Kama KawaidaIran na viongozi wake itadumu licha ya chuki zenu. Nimeongea na watu walioko Tehran, Qum, Mash'had, Isfahan kote huko shwari ni amani tupu. Hao wanaoitwa waandamanaji ni wahuni wachache tu waliokua wamelipwa kuleta vurugu Tehran na sasa wameingia mitini.
Sent using Jamii Forums mobile app
No! That's not the case.Kama kuna maandamano basi kuna demokrasia
Maandamano nihaki yao yakikatiba sasa nashangaa wanaopiga piga kelele kilaleo.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Maandamano ya kutisha yalikuepo enzi za Ahmed Nejad lakini hatimae yalizimika kama mshumaa. Na haya ya juzi usiku kalikua ni kakikundi ka wahuni tu.Yaani wanahangaika tu hakuna watakacho kipata maana kuiangusha serikali iliyopo madarakani hawawez na IRAN Network Inapiga Kazi Kama Kawaida
Bora yale maandamano ya mwishoni mwamwaka jana yalikua makubwa haya yatoka juzi hamna kitu kabisaaa......
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata iran walisema hivyo hivyo.. Na wana serikali yenye ukatili wa hali ya juu sembuse Tanzania?Bongo ni ngumu kutokea.
Huko China .... Palikuwa na maandamano ..mbona hawakusema kuwa raising wa China Ataangushwa ..Russia palikuwa na maandamano ..USA yalikuwepo takribani nwaka mzima ... Ufaransa mpaka leo yapo
Hawa pro USA wa hapa jf waache Porojo aisee....maandamano ni Sehemu ya kisheria katika taifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Maandamano ya kutisha yalikuepo enzi za Ahmed Nejad lakini hatimae yalizimika kama mshumaa. Na haya ya juzi usiku kalikua ni kakikundi ka wahuni tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata iran walisema hivyo hivyo.. Na wana serikali yenye ukatili wa hali ya juu sembuse Tanzania?
Sent using Jamii Forums mobile app