BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Biden wenzie wa Democrats wameshaanza kumkoromea kwa kupiga kura ya veto ili kutosimamisha vita kule kwenye UN Security Council ikiwa ni nchi pekee kufanya hivyo. Weusi wanamuangalia tu huyu wakiamua kutoshiriki uchaguzi 2024 basi ni awamu moja tu. Trump haikutokea tu unadhani yeye angewakemea Israel au kutaka wasimamishe udhalimu wao?
Trump alivyokuwa rais hatukuyaona haya .Establishment is back war after war