Trump alivyokuwa rais hatukuyaona haya .Establishment is back war after war
Kumbuka USA wanasema Alazeera is a terrorist news organization.
Jamaa anajitekenya kwel huyuWe jamaa.muongo kinouma[emoji2][emoji2][emoji2]
Sasa mpaka wanavitega hivyo wao walikuwa wapi?We mkenya hiv una akili kwel..hakuna bomu la kutupwa na ndege linaweza shusha hilo jengo kwa namna hiyo..hilo jengo limekua demolished kwa...kabomu kajuu ni ka kuzugia tu...na ndo kilichofanyika hata 11/9...na ndomana siajabu watu wa humo waliambiwa watoke kwenye hilo jengo....kinachofanyika ni kwenye foundation ya hilo jengo vinawekwa vilipuzi kwa mshazali..yaan kwenye slope. Vinachimbiwa kwenye nguzo zinazoshikilia jengo halaf vinalipuliwa....kama kombora la juu ungeona uharibifu unaanzia juu..punk
Acha uongo taarifa ya Leo Palestine 174, Israel 10 sasa wanalingana vipi hapo?Ukiona muisrael anapiga majengo ujue anakaribia kushindwa manake haelewi anashambuliwa kutokea wapi akipiga jengo hili shambulizi linatokea upande mwengine anapiga jengo hili anapata pigo na pia taarifa inatolewa kwa uongo huko Israel uharibifu ni mkubwa na waliokufa wanakaribia kuwa sawa na Palestine safari hii haaamini macho yake jinsi anavofanyiziwa na waarabu analiwa kiboga na km mwanaume kweli au ana jeshi imara atoke wapigane vita ardhini km hawarudi marekani kuomba hifadhi burukenge hawa!!
Ila hapa muisrael amechemka unaachaje kupambana na hamas unapiga tu majengo ya vyombo vya habari
Ki ukweli wale jamaa ni shidaa!!yaani ilikuwa live , sikuamini kama lile jengo lingedondoka pekee yake tu bila kukugusa yale mengine ya pembeni! Ila nasema hivi hawa israel wakisema wawamalize wapestina wote ni kazi ya masaa tu! Inabakia history! Kwani wakitaka kulipua jengo wanawapa taarifa kabisa kuwa mtoke haraka! Ila HAMAS naona kama wanawapa watu mateso tu bila sababu!!
Israel ni mchumba kwenye vita mkuu kama America akitoa mkono kidogo tu hawa majambazi malowezi yataenya. Na historia inaonesha taifa teule na lililobalikiwa ni waparestina ndio wanapigana na malowezi kutoka uturuki na pande za Russia
Hakuna kitu kama hicho wao watakuwa wapi na na hao wanaojiita waisrael nakufa kama kumbi kumbi ila sababu vyombo vya magharibi vipo upande wa israel basi hawawezi toa habari muafaka.
Huu ndio uwezo wa laifa hili kuu la MunguHigh tech demolition.. jengo moja tuu ndio lina dondoka.. mengine hata hayatikisiki.
Israel ni mchumba kwenye vita mkuu kama America akitoa mkono kidogo tu hawa majambazi malowezi yataenya. Na historia inaonesha taifa teule na lililobalikiwa ni waparestina ndio wanapigana na malowezi kutoka uturuki na pande za Russia
Dunia iko advanced huo muda wa kwenda hadi kutega vilipuzi kwenye foundation wa tower unatoka wapi...chombo inadunguliwa moja kwa moja linaangua jengo husika hayo mahesabu Hamas wanatoa n'nyaaaaa.....Ngoja waonyweshwe adabu.The best comment ever,
Yaani umewavua nguo kabisa
Big up
Mw Israel ni hatari sana niliangalia technologia wanayotumia ya iron dome ina neutralise karibia makombora yote yanatumwa Nan hamas mpaka wanachanganyikiwaIsrael inashambulia majengo marefu sio kwasababu ya Hamas kufanyia shuglizao, bali Hamas wanatumia majengo hayo marefu kufyatulia makombora yanayotua kwenye miji mikubwa ya Israel
Hakuna nchi iliyowahi kuwaunga mkono wapalestina kwny vita wakapigana dhidi ya wa Israeli mkono kwa mkono hebu nitajie ww nchi ganiDunia iko advanced huo muda wa kwenda hadi kutega vilipuzi kwenye foundation wa tower unatoka wapi...chombo inadunguliwa moja kwa moja linaangua jengo husika hayo mahesabu Hamas wanatoa n'nyaaaaa.....Ngoja waonyweshwe adabu.
Vi nchi vya kiarabu viko zaid ya 32 vinaungana kuiangusha Israel wapi.Na Netanyahu kasema atawapiga wachakae,ukiua muisrael 1 anaua wafilisti/wapalestina 1000.
Hapo mturuki Tu akiwaunga mkono wapalestina ujue lile taifa linazikwa na tutasahau kama kulikuwapo na taifa likiitwa Israel km ambavyo kabla 1948 lilivokua halipo mgeni unamkaribisha kwako apate kujistiri leo hii anakupiga na kutaka kukutimua ama kweli wale waabudu mashetaniDunia iko advanced huo muda wa kwenda hadi kutega vilipuzi kwenye foundation wa tower unatoka wapi...chombo inadunguliwa moja kwa moja linaangua jengo husika hayo mahesabu Hamas wanatoa n'nyaaaaa.....Ngoja waonyweshwe adabu.
Vi nchi vya kiarabu viko zaid ya 32 vinaungana kuiangusha Israel wapi.Na Netanyahu kasema atawapiga wachakae,ukiua muisrael 1 anaua wafilisti/wapalestina 1000.
Yaani in 1 hr wametoa warning kwa aljazeera ondokeni hapo wakaongeza dk 10 tu. Wakashusha vyombo,bahati walikua washaondoka.Hawa jamaa ni shida
Mturuki ampige Muisrael?πππHapo mturuki Tu akiwaunga mkono wapalestina ujue lile taifa linazikwa na tutasahau kama kulikuwapo na taifa likiitwa Israel km ambavyo kabla 1948 lilivokua halipo mgeni unamkaribisha kwako apate kujistiri leo hii anakupiga na kutaka kukutimua ama kweli wale waabudu mashetani