Video: Kombora la Israel lilivyoangusha jengo la ofisi za Al Jazeera

Video: Kombora la Israel lilivyoangusha jengo la ofisi za Al Jazeera

Hapo mturuki Tu akiwaunga mkono wapalestina ujue lile taifa linazikwa na tutasahau kama kulikuwapo na taifa likiitwa Israel km ambavyo kabla 1948 lilivokua halipo mgeni unamkaribisha kwako apate kujistiri leo hii anakupiga na kutaka kukutimua ama kweli wale waabudu mashetani
Aaa wapi. Mmarekani yuko pale. Labda Putin atie mguu pale ili kuleta balansi. Na hicho hasa ndicho kinachotegemewa kuwa kitatokea siku moja na watu wanaoamini mambo ya unabii. Putin akitia mguu pale vita vya Armageddon ndiyo vitapigwa na havitakuwa na mwamuzi isipokuwa masihi mwenyewe atakaporudi.

Watu wa unabii wanaamini kuwa kichaa mmoja asiyejali atautwanga bomu msikiti wa Al Aqsa ili kuweza kulijenga upya hekalu la Mfalme Sulemani. Kitendo hiki kitaziunganisha nchi zote za Kiarabu pamoja na Urusi upande mmoja na upande mwingine atakuwepo Mmarekani, Waisraeli na nchi chache za Ulaya. Utakuwa mnyukano hasa wa silaha za kila aina (zikiwemo Nyuklia) na maafa yake yatatisha. Maafa haya yametabiriwa katika kitabu cha Ufunuo.
 
Wewe umekariri sana!

Watu mpaka wana drone za bila rubani yani anakuchapa akiwa anakunywa kahawa ofisini kwake sembuse hilo?

Hizo kombora zilikuwa zinapiga kwa chini ubavuni kabisa kwenye msingi .

Achana na teknolijia mkuu
Pale Aljazeera wameambiwa tokeni saa moja tunashusha hii kitu ,wakaongezewa dk 10.
Nia yao ni kutoonekana wanachofanya.
Maana aljazeera anatangaza kila kitu akiwa Gaza
Wameanza nae.
Kisha mtwango paaa.
Hizo mission hao jamaa wako very expirience nazo na ni nyingi tu kwa tunaosoma vitabu zinafanana.
Kuna ndege ya Ukraine ilishushwa nzima nzima, kazi yao ile, yule brigedia al sis alipotoka Airport siku hiyo akalambwa kazi yao hiyo mtu 100+ walikufa hapo Lebanon miaka mi2 tu, kazi yao hiyo.
Hawaongei sana mzigo mzigo.
Ije kua hawa wala tende halua wawashinde?
Na wanapewa kichapo kila siku.
Netanyahu kasema tutawapiga tena na tena dearly mpaka wakome.
Sasa hapo tusubiri mtanange tu.
 
Yaani in 1 hr wametoa warning kwa aljazeera ondokeni hapo wakaongeza dk 10 tu. Wakashusha vyombo,bahati walikua washaondoka.
Km unakumbuka Lebanon hezbollah pale bandarini mpk leo style imetumika ile ile, hakuna kupinda pinda.
Kilidondoshwa kitu kuangusha jengo wao hezbolar wana nyuklia humo ndani zikalipuka zote.
Raia jirani 150 ndo wakafa
Muisrael kawapa salamu ya pole basi,
Wakasema watalipiza,mpaka leo kimya,
Wapalestina waache ugomvi hawawawezi hao watu wao vita kwao ni kama kucheza game tu.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] anatoaga warning mapema kama kuna raia wasepe
 
High tech demolition.. jengo moja tuu ndio lina dondoka.. mengine hata hayatikisiki.
Huo mtikisiko lazima na majengo mengine yana shida, kuna video moja inatembea inaonyesha hilo jengo lingine vioo vilapasuka. Hii inamaanisha kuna mtikisiko mkubwa.
 
Kwanini UN iliamua kuwaleta waisrael mashariki ya kati karibu na hao wapalestina kwani hamna sehemu nyingine ?
UN imeheshimu Biblia,hapo waisraeli walipelekwa na Mungu na kumilikishwa walipotoka misri,kwaiyo pale ni kwao.
 
Hakuna nchi iliyowahi kuwaunga mkono wapalestina kwny vita wakapigana dhidi ya wa Israeli mkono kwa mkono hebu nitajie ww nchi gani
Mkuu vita va 1967 vilivopewa jina vita va waarabu na Israel vilisababiswa na nchi za kiarabu kuwaunga mkono wa Palestine, matokeo yake ni kushindwa na Misri, Jordan na Syria ardhi zao zikatekwa na Israel
 
What’s 9.3 miles (15 km)?

163 football fields
46 Eiffel Towers
34 Empire State Buildings
18 Burj Khalifas
Nearly 2 Mt. Everests

Our fighter jets neutralized 9.3 miles of the Hamas 'Metro' terror tunnel system overnight.

That's 9.3 miles that can no longer be used for terror.
 
Hakuna kitu kama hicho wao watakuwa wapi na na hao wanaojiita waisrael nakufa kama kumbi kumbi ila sababu vyombo vya magharibi vipo upande wa israel basi hawawezi toa habari muafaka.
Huo ubishi ndio unawaponza!!sasa mbona hao wapalestina ndio wanaonyesha miili ya watoto na wanawake wakiomba msaada?!mwaka 2014, yalikuwa haya haya, wakauawa sana, majengo yao yakabomolewa sana, yaani utumie mbinu ile ile utegemee matokeo tofauti?hii misimamo ya dini ndio inayowaponza kikundi cha HAMAS, ndio kinawaletea dhahama yote hiyo!!sasa mtu anachagua apige jengo gani, tena kwa kukuhurumia anakupa kabisa taarifa kuwa tokeni!!utaringanisha na hao wanaopiga ovyo ovyo tu kwa vijikombola uchwara?!!
 
Dunia iko advanced huo muda wa kwenda hadi kutega vilipuzi kwenye foundation wa tower unatoka wapi...chombo inadunguliwa moja kwa moja linaangua jengo husika hayo mahesabu Hamas wanatoa n'nyaaaaa.....Ngoja waonyweshwe adabu.

Vi nchi vya kiarabu viko zaid ya 32 vinaungana kuiangusha Israel wapi.Na Netanyahu kasema atawapiga wachakae,ukiua muisrael 1 anaua wafilisti/wapalestina 1000.
The worst comment ever,
 
Huenda kombora toka jengo hilo lilirushwa kwenda Israel, maana nasikia pale linapotoka kombora kwenda Israel ndipo hapo hapo majibu ya kombora yanarudishwa. Mungu atusaidie
 
Pale Aljazeera wameambiwa tokeni saa moja tunashusha hii kitu ,wakaongezewa dk 10.
Nia yao ni kutoonekana wanachofanya.
Maana aljazeera anatangaza kila kitu akiwa Gaza
Wameanza nae.
Kisha mtwango paaa.
Hizo mission hao jamaa wako very expirience nazo na ni nyingi tu kwa tunaosoma vitabu zinafanana.
Kuna ndege ya Ukraine ilishushwa nzima nzima, kazi yao ile, yule brigedia al sis alipotoka Airport siku hiyo akalambwa kazi yao hiyo mtu 100+ walikufa hapo Lebanon miaka mi2 tu, kazi yao hiyo.
Hawaongei sana mzigo mzigo.
Ije kua hawa wala tende halua wawashinde?
Na wanapewa kichapo kila siku.
Netanyahu kasema tutawapiga tena na tena dearly mpaka wakome.
Sasa hapo tusubiri mtanange tu.
 
Tafute video zinazoonesha athari huko tel aviv ndo mtajua mzayuni ameshikwa tako na mwarabu safari hii hawataki video zionekane wala idadi ya watu waliokufa huko uzayuuni wanatoa takwimu za uongo ila hamas nimewakubali wameufunga uwanja wa ndege sijui watashushiwa wapi silaha na huko baharini mturuki ashawazunguka mbwa hawa

Dah imebidi nicheke,wewe tuletee hizo video kama zipo. Unatupa kazi tena sisi tukazitafute,wakati unaonekana unazo tayari[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom