Ndombwindo
JF-Expert Member
- Nov 23, 2013
- 1,387
- 2,085
Kwamba wapinzani ndio wataleta wawekezaji!!!Bibie kama anania nzuri kwanini asiruhusu Demokrasia na Utawala wa Sheria kuliko kuwahonga akina Tony Blair kwa hela zetu za Tozo na Kodi?
View attachment 1970904
Huyu Hichilema mbona anakubalika sana na waabongo.?Mbona Hichilema alikuwa Ikulu 🤣🤣🤣
Jiangalie kwenye kioo uone unefananaje ndio uje upige kelele hapa.Sisi au wewe na manyani wenzako!!! Kuna wazungu ni wapumbavu kupita huo upumbavu wenyewe, kuna wachina hadi wachina wenzao wanawanyonga kwa kuwaona sio wenzao, waarabu kwa waarabu ndio usiseme….
Sisi waafrika tatizo letu kubwa ni kuchangamana na vinyesi zizi moja, mfano halisi ni mpuuzi kama wewe kuruhusiwa kumiliki account kwenye jukwaa potential kama hili, hapo ndio tunapofeli sana…
Wewe kama unaamini Tundu Lissu is always right, hilo ni la kwako; with all due respect, hata yeye kuna wakati anakuwa mpumbavu tu. Kwenye hili kawa mpumbavu.
Sio kila kitu ni issue ya kuita press conference.
Hawawezi kuwa wapumbavu kama hawa na ndiyo maana they are so honest kutaka KATIBA MPYA YA WANANCHI ili kutengeneza mfumo mpya wa utawala lakini ndugu zako CCM wameshupaza shingo kwa sababu wanapenda upumbavu wanaoendelea kuufanya...Hapa hakuna la maana, mtu anauliza "Why FM anatangulia kabla ya Rais". Anyways, tusubiri siku CHADEMA wakichukua nchi tutaona jinsi watavyotuongoza. Maana wanajua kila kinachotakiwa kufanywa. Am out.
Tumeendelea aisee, kama tunao kina Kim Kardashian wa bongoland.Anawakilisha wengine wengi kwenye tasnia yake ambao wakienda vinchi kama Burundi, Rwanda, sometimes mpaka hapo Kenya huonekana kama akina Kim Kardashian hivi…
Umeninukuu vibaya au IQ ndio tatizo.Kwamba wapinzani ndio wataleta wawekezaji!!!
Folks of your kind ultimately got to get back to the class cause there’s plenty you know nothing about, I suggest you be my guest…..Jiangalie kwenye kioo uone unefananaje ndio uje upige kelele hapa.
Ulivyo na akili za kinyani nyani hata hukumbuki kuwa simu unayotumia humu na na uwepo wa account yako humu ni kazi iliofanywa na mzungu. Pumbavu kabisa..
Stop running in the bushes with your cheap excuses, the F with IQ sh@t, yoh just describe how freeing the opposition leaders being held in custody would attribute to increased number of foreign investors.Umeninukuu vibaya au IQ ndio tatizo.
Wewe endelea kumsikiliza Tundu lissu wako na sisi tuendelee kumsikiliza rais wetu.You may not like this. But it happened...
Kumbe bwana, kabla ya Rais Samia Hassan kuhudhuria summit ya kikao cha UNGA, NewYork wiki kadhaa zilizopita, balozi Liberata Mulamula, waziri wa mambo ya kigeni alitangulia mwezi mmoja kabla ili kumwandalia Rais nafasi ya kukutana na Rais Joe Biden na kupiga picha naye. Bahati mbaya alikataliwa...!
Kwanini? Msikilize Tundu Lissu kwenye video hiyo chini...
Na kama asemayo TL ni kweli [na ni kama kweli kwa 100%], basi bila shaka utawala wa CCM unàelekea ukingoni kwa sababu haiwezekani propaganda na udanganyifu uvuke mipaka mpaka kwa Rais Joe Biden wa USA...!!
Thank God kwa kuwa hawakufanikiwa kupitisha upuuzi wao kwa taifa hilo kubwa na rafiki yetu....
Msikilize Tundu Lissu...
View attachment 1970431
Kazushaa nn mkuuTundu Lisu ni mzushi tu!
fala mama yako, why such abusive language. fala mama yako, muulize mama yako kama kuna trush can atakwambia muziki wakeRubbishy response from the dude worth a trash-can, kuna watanzania maelfu wananufaika na hizo mbuga na hiyo milima, tembelea mji wa Arusha kwa mfano au nenda Kilimanjaro tafuta wapi familia zenye mashavu kweli kweli hutoa hizo pesa zao ndio utakapojua hujui…. Achilia mbali tozo kibao serikali inazokusanya.
Usipoziona fursa usitegemee kuwa na wengine hawazioni, na hapa ndio wageni kutoka nje wanapotupigia bao…. Eti Mbuga zitahamia ulaya! kwenye barafu aishi mnyama wa serengeti na akajitegemea kabisa kabisa!!! We unadhani wazungu ni mafala wanapoacha zoo kwao na kulipa mamilioni ya dola kuja kujionea ecology ya asili? Kama hujui ni hujui tu usidhani wote duniania ni mafala kama wewe…
Sio kila mtanzania anajua thamani ya nchi yake na jinsi gani ataweza kunufaika na rasilimali zunguka… sio makosa yako lakini. Wachaga kibao wanasomesha watoto shule na vyuo vya ulaya, American na Far East kwa pesa za utalii na madini wewe unadhani kila mtanzania ni fala kama wewe, shauri yako.
Aight!!! Have just realized who I was trying to engage a conversation with…. An Imbecilic empty headed tryna prove the crowd he still got somethin…. Endelea kumgonja hapo dampo, kaniambia leo anakutimbia na malboro containing my immature ejaculation specific for you to swallow ..Nimemaliza yangu nasubiri jibu toka kwa mama yako. It is done on my side!
Sijui kama mgombea asiwe Lissu, mtu mwenye dharau, hasira na visasi. Mbaya zaidi haamini katika mila na tamaduni zetu. Anaamini kuwa vyetu vyote ni utopolo na Mzungu ni Mungu mtu hvyo tunatakiwa tumuabudie na kufuata vyote afanyavyo- Nonsense!Wewe kama unaamini Tundu Lissu is always right, hilo ni la kwako; with all due respect, hata yeye kuna wakati anakuwa mpumbavu tu. Kwenye hili kawa mpumbavu.
Sio kila kitu ni issue ya kuita press conference. Hapa hakuna la maana, mtu anauliza "Why FM anatangulia kabla ya Rais". Anyways, tusubiri siku CHADEMA wakichukua nchi tutaona jinsi watavyotuongoza. Maana wanajua kila kinachotakiwa kufanywa. Am out.
KWAHIYO TUWAABUDIE WAZUNGU! Kwa maneno mengine Nyerere alikuwa mpumbavu na mjinga kudai uhuru, yaani tungeendelea kutawaliwa au sio! Du, kweli shule mali.Jiangalie kwenye kioo uone unefananaje ndio uje upige kelele hapa.
Ulivyo na akili za kinyani nyani hata hukumbuki kuwa simu unayotumia humu na na uwepo wa account yako humu ni kazi iliofanywa na mzungu. Pumbavu kabisa..
Hii serikali ya MATAPELI wa CCM ni janja janja sana Mkuu, wapuuzi hawa hawana mwisho mrefu.Mbona Hichilema alikuwa Ikulu 🤣🤣🤣
Cief hangaya kukosa fursa ya kupiga picha na Rais Biden au Makamu ni jambo jema sana kwetu sisi wapenda demokrasia. Ni hayo tu.Huyu lissu hakika ni mtu wa ovyo sana. Tanzania sio nchi ya kutafuta fulsa kupiga picha na rais wa marekani kama lengo la pekee. Kuna viongozi hata kutoa pesa wanatoa au wanapewa fulsa kuonana na kupiga picha na rais wa marekani kutokana na kua ni vibaraka wa nchi hiyo. Nchi yetu ni msimamo wetu ndio unatupa heshima. Huyo lissu mwenyewe ndio anatafuta fulsa kuonana na viongozi wa huko ila hata barabara ya magogoni ya ikulu ya white house pengine hajapitishwa na kiongozi yeyote wa marekani. Jinsi anavyozungumza mwanamapinduzi yeyeto atamzarau.
Lissu kiboko ya CCM, amekosesha Chief Hangaya fursa ya kukutana na "beberu" wa dunia.Hivi lisu si kiongozi mkubwa CDM mbona yuko huko njee na anaendelea kujenga propaganda za kitoto yani za kitoto.
Eti kesi kama kesi aiwezi kutupeleka ikulu. Kitakacho tupeleka ikulu ni kazi. Kazi ipi hiyo CDM wana fanya zaidi ya kupinga maendeleo.
Never give up. Haya bana endeleni na mapambano
Magufuli alisema anajenga nchi kwa pesa zetu za ndani, CCM hawaaminiki kabisa.Lissu alisema yule mlinzi alikufa kabla hata JPM hajazikwa Chato..lakini soon tukamuona akiwa kwenye msiba wa Jiwe..Kwahiyo Lissu alitulisha matango pori..na hawezi kuaminika kwa kila analolisema.