Video: Kumbe kabla Rais Samia kwenda kwenye UNGA - New York , waziri Liberata Mulamula alitangulia mwezi mmoja kabla. Why..?

Video: Kumbe kabla Rais Samia kwenda kwenye UNGA - New York , waziri Liberata Mulamula alitangulia mwezi mmoja kabla. Why..?

Hata siku moja hupangilii muda wa kukutana na Raisi wa Marekani/makamu wake kwa kipindi cha mwezi mmoja. Ni lazima uwe umeplan zaidi ya miezi mitatu kabla hujapata huo muda. Kipindi kile nchi nyingi zinapanga kukutana na Raisi huyu katika mkutano huo.

Ni kanuni au ni halmashauri ya kichwa chako inafikiri hivyo?

Rais mpya wa Zambia Hakainde Hichelema alichaguliwa few weeks before that meeting, yet akapata appointment ya kukutana nà USA - WHITE HOUSE chini ya VP Kamala Harris. Wewe dhana hii unaitoa wapi...?
Kwa mwaka huu Rais wa Marekani alikutana na zaidi ya viongozi 25 katika mkutano ule. Nao walipanga miezi mitano mpaka mwaka kabla.

Ni fikra zako tu duni hizi...

Kwa dhana yako hii, maana yake Rais wa Zambia Hakainde Hichilema alifanya appointment kabla hata hajajua kuwa ni Rais wa Zambia...!!

Unajiona ulivyo mj....???
Hivyo sikubaliani kuwa Waziri wetu wa mambo ya nchi za nje eti alihanhaika mwezi mzima akitafuta nafasi ya Rais wetu kupiga picha na Baiden - Hii siikubali.

Hakuna hasara wala faida ya wewe kukubali au kukataa. It's your choice...!
Kama Mama alivyosema alikutana na vikundi vingi na viongozi wa nchi mbali mbali - Hiyo ndio kazi aliyoifanya Waziri wetu Wa nchi za nje kwa mwezi mmoja nchini Marekani. Hiyo ya kupanga mipango ya mikutano si kitu rahisi.
Haina maana kuwa hakujaribu kutafuta nafasi ya kuonana na Mr President Joe Biden na kushindwa kupata [alikataliwa] kwa sababu ya uchafu unaofanyika ktk nchi yake chini ya utawala wa CCM yake....!
 
Lissu alisema yule mlinzi alikufa kabla hata JPM hajazikwa Chato..lakini soon tukamuona akiwa kwenye msiba wa Jiwe..Kwahiyo Lissu alitulisha matango pori..na hawezi kuaminika kwa kila analolisema.
Swali ni hili;

Yuko hai hapo ulipo sasa?

Mbona unaonesha kuwa umekaririshwa cha kusema na kuandika??
 
Kubwajinga kabisa wewe, urafiki wako na Joe Biden umeanza lini, ananikera sana mtu ambaye watu weupe kwake ni zaidi ya Mungu aliyetuwekea utajiri usiopatikana popote duniania tukianzia Mt. Kilimanjaro, Ngorongoro, Serengeti, Tanzanite, Wema Sepetu, Mwendazake Dr. Shika, Zanzibar ya bibi kidude binti kibaraka and so on and so on…..

Tony Blair nayeye alimtuma nani bongo before kale kapicha na mama?
Tony anataka kupiga deal na tanesco
 
Lissu si ndo aliyesema yule mlinzi wa Magufuli Corona imemuua??!!..

Hawezi kuamnika popote.
Kwa hiyo haaminiki?
Yaani Lissu anaona kupiga picha na Joe Biden basi unakuwa imemaliza kila kitu? Mbona hao hao wamempatia TZS 1.3 trillion
 
Not true..

Labda wewe ndiye mjinga hujaelewa..

Hivi unaelewa hata lengo na maana ya international diplomacy kweli wewe?Tangu lini diplomasia ya namna hii ikafanyikia gizani?


Unafanya lobbying ya nini? Katika tukio la juzi huko New York Tanzania ilikuwa inafanya lobbying ya kitu gani huko behind the scene kama si kutaka kujaribu kuitumia USA kufuta uchafu wa serikali iliyokwisha kuufanya? Hebu eleza tukuelewe.....


Absolutely, inawezekana kwa serikali hii kwenda huko kama wanakwenda sokoni Kariakoo...!!


Kumbe unajua?

Argument yako hapo juu inatoka wapi kama unalijua hili? Na Tundu Lissu anakosea nini maana ni kama unamuunga mkono...

Hana tatizo na hilo na hujataka kumuuliza ili akwambie.

Tatizo liko kwa hawa unaowatetea maana hawaamini ktk kukataliwa. Ukitoboa siri kuwa "walikataliwa kuonana na President Joe Biden au VP Kamala Harris wa USA usishangae ukabambikiwa kesi ya ugaidi au uhaini au ukakoswakoswa risasi za SMG...!!

Hatushangai kufanya kazi yake halali. Tunashangaa kufanya kazi chafu kujaribu kuusafisha utawala uliokwisha kujipaka mavi usoni...!
Umeandika mambo mengi, lakini itoshe kusema, you know very little about diplomacy

Unachokiita "international diplomacy", ni matokeo ya kazi nyingi ambazo hazitangazwi wala kusemwa. Soma kitabu cha Mkapa kitaweza kukupa mwanga kidogo kuhusu diplomacy aliyofanya Mkapa wakati wa Nyerere na Mwinyi, nathubutu kusema Mkapa alikuwa moja ya wana diplomasia mahiri kabisa kutokea Tanzania, na wengi hawajui hilo; ndio maana ya diplomacy kufanya gizani.. wewe unachokiona ni matokeo.

Hujanisoma kunielewa, umesoma na hisia. Mtoa mada anauliza "Why Mulamula alitangualia USA mwezi mmoja kabla?" Ni swali la kipumbavu kabisa. Kuna mkutano mkubwa wa kidunia, unashangaa waziri wa mambo ya nje kwenda kuweka mambo sawa? Ndio kazi yake hiyo... Chuki zimetupa upofu Watanzania.
 
Swali ni hili;

Yuko hai hapo ulipo sasa?

Mbona unaonesha kuwa umekaririshwa cha kusema na kuandika??
Hilo la yeye kuwa hai au kutokuwa hai kwa sasa mimi silijui na halina maana yoyote kwenye hilo nililolisema,mimi nimezungumzia siku chache kabla ya Jiwe kuzikwa Chato muda ambao Lissu alitoa hiyo taarifa...Mimi nazungumzia uongo wa Lissu wa kusema mtu kafa na kesho yake tunamuona huyo mtu akiwa hai..
 
Umeandika mambo mengi, lakini itoshe kusema, you know very little about diplomacy

If I know a little about International diplomacy and you know a lot, why don't you share with us what you know..?
Unachokiita "international diplomacy", ni matokeo ya kazi nyingi ambazo hazitangazwi wala kusemwa.

Whatever...

But, hii haiwezi kuzuia wala kuwa ngumu kwa mtu mwingine yeyote kuzijua kazi hizo " zisizotangazwa" au "kusemwa". Mojawapo ni hiyo ya kipumbavu kabisa iliyoibuliwa na Tundu Lissu " eti Rais Samia kutaka kupika picha na US - President" ili aje awatambie CHADEMA nchini kwake...!

This is very childish, right...?

Very unfortunately for her maana mlango ukawa umefungwa hata kupiga picha tu na mwanamke mwenzake US - VP, Kamala Harris....!!

NOTE: Tatizo siyo Rais Samia kutaka kupiga picha na Rais Joe Biden as part of her funny moments. Tatizo ni HILA ZA USHETANI nyuma ya mpango huo....!
Soma kitabu cha Mkapa kitaweza kukupa mwanga kidogo kuhusu diplomacy aliyofanya Mkapa wakati wa Nyerere na Mwinyi, nathubutu kusema Mkapa alikuwa moja ya wana diplomasia mahiri kabisa kutokea Tanzania, na wengi hawajui hilo; ndio maana ya diplomacy kufanya gizani.. wewe unachokiona ni matokeo.

The subject here is Balozi Mulamula, The Tanzania Foreign Minister na alichokwenda kufanya US one month before..

Ya Mkapa for your information, nayajua kuliko unavyojua wewe...!!!
Hujanisoma kunielewa, umesoma na hisia.

Yes, hisia zako. Siyo FACTS
Mtoa mada anauliza "Why Mulamula alitangualia USA mwezi mmoja kabla?" Ni swali la kipumbavu kabisa.

Really? Really?

Wewe na Tundu Lissu kwa maarifa, uelewa na ufahamu unadhani nani anaweza kuwa mpumbavu...?

Jibu direct & simple, NI WEWE...!
Kuna mkutano mkubwa wa kidunia, unashangaa waziri wa mambo ya nje kwenda kuweka mambo sawa? Ndio kazi yake hiyo...

Absolutely, ni kazi yake...

Nakushauri tu uelewe kuwa, hata kazi ya kufanya juhudi ya kumfuta Rais Samia Suluhu na uchafu wa kinyesi wanaojipaka kila siku ktk uso wa kimataifa kwa kuinajisi demokrasia, ni kazi ya Foreign Minister pia...!

Unachojaribu kubisha hapa ni kitu gani hasa maana mambo ni hadharani mno hata mjinga anaweza kung'amua tu...?
Chuki zimetupa upofu Watanzania.
Wenye chuki ni wale wanaoonea na kubambakia kesi mbaya wanaowakosoa. Washauri na kuachukia hao. Hao ndio tatizo halisi la nchi hii...
 
Ni kanuni au ni halmashauri ya kichwa chako inafikiri hivyo?

Rais mpya wa Zambia Hakainde Hichelema alichaguliwa few weeks before that meeting, yet akapata appointment ya kukutana nà USA - WHITE HOUSE chini ya VP Kamala Harris. Wewe dhana hii unaitoa wapi...?


Ni fikra zako tu duni hizi...

Kwa dhana yako hii, maana yake Rais wa Zambia Hakainde Hichilema alifanya appointment kabla hata hajajua kuwa ni Rais wa Zambia...!!

Unajiona ulivyo mj....???


Hakuna hasara wala faida ya wewe kukubali au kukataa. It's your choice...!

Haina maana kuwa hakujaribu kutafuta nafasi ya kuonana na Mr President Joe Biden na kushindwa kupata [alikataliwa] kwa sababu ya uchafu unaofanyika ktk nchi yake chini ya utawala wa CCM yake....!
The palm tree kwanza niseme tu nashukuru sana kwa majibu yako yenye hoja nzito na za kina kirefu sana. Nina majibu mafupi tu kwa hoja zako kama ifuatavyo:

  • Juu ya Rais mpya wa Zambia: Huyu ametayarishwa na Marekani kwa kipindi cha zaidi ya miaka Kumi kushika nafasi hiyo. Huyu ni mtu wao, hivyo hata angeshinda leo na kesho kuna huo mkutano angepata nafasi ya kukutana na Rais wa Marekani kama alivyokuwa Mabutu akikutana na Reagan wakati wowote ule. Ni sawa na Mbowe akishinda uchaguzi TZ, siku ya pili bila kupangwa anaweza kukutana na Bi Angela Merkel wa Ujerumani kwa vile nafasi yake iko wazi wakati wowote ule. Kuna viongozi ni watoto wa White house, list ni kubwa lakini baadhi yao ni , Waziri mkuu wa Israel, King wa Saud Arabia, Kenyata, Raisi Sisi wa Misri, Mpinzani wa Putin- Nalvanyi(yuko jela) n.k.
  • Sikatai anaweza kuwa alijaribu, lakini hata yeye anaelewa kuwa Rais huyo wa Marekani hata siku moja huwezi kufanya mipango ya kukutana naye kwa mwezi mmoja. Unapopanga kukutana na Rais kama huyo lazima kwanza uwe na ajenda, na ajenda hiyo ipitiwe na kamati maalum. Hiyo ndio Protokali ndugu yangu nawe unaijua. Sitaki nieleze zaidi, ila kama Waziri/nje alitaka kufanya hivyo angewasilisha barua kwanza na si kwenda kuwatafuta wahusika mitaani na maofisini kama mimi na ngosha tunavyokwenda kutafuta kazi maofisini. Isitoshe kuna balozi wetu nchini Marekani ambaye angefanya kazi hiyo, kwanini wewe katika Thread yako hujamtaja hata mara moja?
  • Ushauri kwako na kwa msomaji yeyote wa Thread hii_ Fuatilieni utaratibu unaotakiwa kufuatwa kwa Marais wa Afrika kukutana na Rais wa Marekani. Upo wazi tu utaratibu wake.
 
Lissu should stop talking about petty things. So what hata kama alitangulia two months amevunja sheria ya nchi? Si anafanya kazi za serikali. Lissu na wenzako mlimsema sana Mzee Rugemalira aka kaa ndani miaka minne. Mbona hamkujitokeza kwenda kutoa evidence? Kazi ni kuleta Drama
 
Sisi au wewe na manyani wenzako!!! Kuna wazungu ni wapumbavu kupita huo upumbavu wenyewe, kuna wachina hadi wachina wenzao wanawanyonga kwa kuwaona sio wenzao, waarabu kwa waarabu ndio usiseme….

Sisi waafrika tatizo letu kubwa ni kuchangamana na vinyesi zizi moja, mfano halisi ni mpuuzi kama wewe kuruhusiwa kumiliki account kwenye jukwaa potential kama hili, hapo ndio tunapofeli sana…
Hivi na wewe unajihesabia ni mtu, unalazimisha kabisa uitwe mtu mweusi.
Sisi wafrika hatujawahi kuwa watu, sisi ni manyani na ni zaidi ya manyani tuna roho za kinyama, tuna roho mbaya sana.

Wazungu rafiki zake Mungu. Huo ndio ukweli mchungu.
 
akili zenu matope, mbuga hizo zimewafikisha wapi? Rubbish! Some 50 yrs to come wazungu watakuwa na mbuga zaidi ya zenu maana mtakuwa mmezimaliza kwa poaching ...
Rubbishy response from the dude worth a trash-can, kuna watanzania maelfu wananufaika na hizo mbuga na hiyo milima, tembelea mji wa Arusha kwa mfano au nenda Kilimanjaro tafuta wapi familia zenye mashavu kweli kweli hutoa hizo pesa zao ndio utakapojua hujui…. Achilia mbali tozo kibao serikali inazokusanya.

Usipoziona fursa usitegemee kuwa na wengine hawazioni, na hapa ndio wageni kutoka nje wanapotupigia bao…. Eti Mbuga zitahamia ulaya! kwenye barafu aishi mnyama wa serengeti na akajitegemea kabisa kabisa!!! We unadhani wazungu ni mafala wanapoacha zoo kwao na kulipa mamilioni ya dola kuja kujionea ecology ya asili? Kama hujui ni hujui tu usidhani wote duniania ni mafala kama wewe…

Sio kila mtanzania anajua thamani ya nchi yake na jinsi gani ataweza kunufaika na rasilimali zunguka… sio makosa yako lakini. Wachaga kibao wanasomesha watoto shule na vyuo vya ulaya, American na Far East kwa pesa za utalii na madini wewe unadhani kila mtanzania ni fala kama wewe, shauri yako.
 
Ni kweli Balozi Mula Mula alikuwa USA wiki kadhaa kabla ya Samia Suluhu kutua USA katika kuweka mipango ya Samia kuweza kukutana na marais kadhaa ikiwemo kukutana na Biden au Harison, mimi na baadhi ya Diaspora ni miongoni mwa watu tulioweza kulishuhudia hilo, na ilikuwa ni jambo zuri na msingi kwa Tanzania. Na wala sio jambo la ajabu.

Bahati mbaya sana kuna mambo Balozi Mula Mula alikosea, na hili lilikuwa ni kosa la kidiplomasia, kwa mfano.

1. Fursa ya kutaka kuonana au kupiga picha na rais wa USA ilipaswa kupitia kwanza kwenye balozi ya USA hapa Tanzania na sio kukutana juu kwa juu.

2. Namna yoyote ya kutaka kukutana na rais wa USA ilipaswa kutanguliwa na agenda muhususi. Samia hakuwa na agenda.

3. Sera rasmi ya USA ya mambo ya nchi za nje ya utawala wa Biden imejikita kwenye suala la Demokrasia, na tayari USA kupitia balozi wake hapa Tanzania wamekosoa mwenendo mchafu wa utawala wa Samia kwenye mambo ya demokrasia, ingekuwa ni matusi makubwa kwa wamerekani (kupitia media zao, maseneta) kumuona Biden akipiga picha ili kumpraise Samia Suluhu. (Unaweza ukaelewa ni kwanini Rais wa Zambia aliweza kupokelewa kwa heshima kubwa USA kiasi cha kupewa heshima ya kupiga picha na viongozi wao wa juu)
Mkuu umemaliza kila kitu. Barikiwa.
 
You may not like this. But it happened...

Kumbe bwana, kabla ya Rais Samia Hassan kuhudhuria summit ya kikao cha UNGA, NewYork wiki kadhaa zilizopita, balozi Liberata Mulamula, waziri wa mambo ya kigeni alitangulia mwezi mmoja kabla ili kumwandalia Rais nafasi ya kukutana na Rais Joe Biden na kupiga picha naye. Bahati mbaya alikataliwa...!

Kwanini? Msikilize Tundu Lissu kwenye video hiyo chini...

Na kama asemayo TL ni kweli [na ni kama kweli kwa 100%], basi bila shaka utawala wa CCM unàelekea ukingoni kwa sababu haiwezekani propaganda na udanganyifu uvuke mipaka mpaka kwa Rais Joe Biden wa USA...!!

Thank God kwa kuwa hawakufanikiwa kupitisha upuuzi wao kwa taifa hilo kubwa na rafiki yetu....

Msikilize Tundu Lissu...
View attachment 1970431
Upotoshaj
 
Eti mimi nakuona wewe ndiye MJINGA na KUBWA JINGA 100%...

Hii siyo ishu Tundu Lissu kuhusudu mtu mweupe...

By the way, huo utajiri unaosema mnao, una uhusiano gani na alichojadili Tundu Lissu...?
Common sense tu, Lisu anaamini kuwa Biden ni superior (America) na mama Samia (Tanzania) ambapo ndio kwao na ameacha wajomba, mashangazi, watoto, mababu na mabibi ambao wanakula Tanzania, wanalala Tanzania, wanalindwa Tanzania, wanaoa Tanzania, hewa ya Tanzania, ardhi ya Tanzania vp sisi ndio tuwe inferior?

Kwanini suala la Mama samia kuomba nafasi ya kukutana na kiongozi mwenzake iwe ajenda? Wakutane wasikutane nini kinaharibika? Tanzania kwa wakati mmoja walikutana maraisi watatu wa USA, Clinton, Bush na Obama lakini bado hawakuifanya Tanzania kuwa kama USA….. Huko kwao Singida wanataka mama aonane na Biden au wanataka Maendeleo yao binafsi! Acheni kuwaona wazungu kama miungu watu, Maendeleo huletwa na sisi wenyewe kwa juhudi zetu of course na ushirikiano wa jamii mbalimbali in a win-win situation.
 
Wewe na Tundu Lissu kwa maarifa, uelewa na ufahamu unadhani nani anaweza kuwa mpumbavu...?
Wewe kama unaamini Tundu Lissu is always right, hilo ni la kwako; with all due respect, hata yeye kuna wakati anakuwa mpumbavu tu. Kwenye hili kawa mpumbavu.

Sio kila kitu ni issue ya kuita press conference. Hapa hakuna la maana, mtu anauliza "Why FM anatangulia kabla ya Rais". Anyways, tusubiri siku CHADEMA wakichukua nchi tutaona jinsi watavyotuongoza. Maana wanajua kila kinachotakiwa kufanywa. Am out.
 
Umaskini mbaya sana. Mwenzio Chif Hangaya anawahusudu na pesa anaomba anapewa wewe utakuwa mjinga unawaponda wazungu
Wewe inawezekana unaweza mlamba makalio boss wako kisa msaada au mshahara, aisee mimi sifanyi kazi kwa wahindi maana ningepewa murder case ya kumfuta boss… I prefer both sides challenge manner in the workplace, at home and everywhere else…
 
Back
Top Bottom