Video: Kumbe kabla Rais Samia kwenda kwenye UNGA - New York , waziri Liberata Mulamula alitangulia mwezi mmoja kabla. Why..?

Video: Kumbe kabla Rais Samia kwenda kwenye UNGA - New York , waziri Liberata Mulamula alitangulia mwezi mmoja kabla. Why..?

Haaa haa just haa haaa .. Tripu shamba Tripu gereji [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Lissu alipiga na kuchakaza kabisa Mtupoli, likamwacha lijifie, mjanja akasepa.. KUDADEKI..!
Mheshimiwa Lissu Heshima yako mkubwa popote ulipo [emoji1488]
Lissu ni mtu mbad kweli
A very smart & intelligent Tanzanian.
Ni fukara wa akili tuu anayeweza kutotamani kufanya kazi na kichwa kama Lissu.
Ni nchi iliyokosa viongozi wenye maono tu inayoweza kutomtumia kichwa kama Lissu.
 
Kubwajinga kabisa wewe, urafiki wako na Joe Biden umeanza lini, ananikera sana mtu ambaye watu weupe kwake ni zaidi ya Mungu aliyetuwekea utajiri usiopatikana popote duniania tukianzia Mt. Kilimanjaro, Ngorongoro, Serengeti, Tanzanite, Wema Sepetu, Mwendazake Dr. Shika, Zanzibar ya bibi kidude binti kibaraka and so on and so on…..

Tony Blair nayeye alimtuma nani bongo before kale kapicha na mama?

Eti mimi nakuona wewe ndiye MJINGA na KUBWA JINGA 100%...

Hii siyo ishu Tundu Lissu kuhusudu mtu mweupe...

By the way, huo utajiri unaosema mnao, una uhusiano gani na alichojadili Tundu Lissu...?
 
Mtoto nani hapa?

Mimi mleta ujumbe au Tundu Lissu aliyefunua hili..?

Au Balozi Liberata Mulamula na Rais wake Samia Suluhu ndiyo wafundishwe protokali...?

Mimi nadhani tungejadili kama hili alisemalo Tundu Lussu ni kweli ama la...

Kama ni UONGO na kuwa ni protokali ya kawaida kwa Foreign Minister kwenda mwezi mmoja kabla, basi ni haki tumzodoe Tundu Lissu, siyo Mimi...

Kama ni KWELI walifanya hivyo huku protokali ikikataa, basi ni haki kuwashangaa kina Balozi Liberata Mulamula na wenzake...!!
Huu ndio upinzani wa kijinga.

Diplomacy haifanyiki hadharani....

Lissu anapaswa kujua ndio kawaida, wizara wa mambo ya nje lazima ifanye maandalizi ya hii mikutano, ikiwemo kufanya behind the scene lobbying. Yaani Lissu anadhani Rais atatoka hapa Dar bila kuwa na kila kitu confirmed? This is very cheap.

Kuhusu kukataliwa mikutano ni kitu cha kawaida; watu wana interest zao, local na international. Kama wakiona mkutano au picha inaweza kuleta maneno zaidi ya faida, wanachomoa tu. Hata yeye Lissu nina uhakika kuna mikutano aliomba na akakataliwa, ustaarabu ni kutunziana heshima.

Inashangaza kwamba tunamshangaa waziri wa mambo ya nje kufanya kazi yake.
 
You may not like this. But it happened...

Kumbe bwana, kabla ya Rais Samia Hassan kuhudhuria summit ya kikao cha UNGA, NewYork wiki kadhaa zilizopita, balozi Liberata Mulamula, waziri wa mambo ya kigeni alitangulia mwezi mmoja kabla ili kumwandalia Rais nafasi ya kukutana na Rais Joe Biden na kupiga picha naye. Bahati mbaya alikataliwa...!

Kwanini? Msikilize Tundu Lissu kwenye video hiyo chini...

Na kama asemayo TL ni kweli [na ni kama kweli kwa 100%], basi bila shaka utawala wa CCM unàelekea ukingoni kwa sababu haiwezekani propaganda na udanganyifu uvuke mipaka mpaka kwa Rais Joe Biden wa USA...!!

Thank God kwa kuwa hawakufanikiwa kupitisha upuuzi wao kwa taifa hilo kubwa na rafiki yetu....

Msikilize Tundu Lissu...
View attachment 1970431
Huyu ni mpuuzi na lazima apuuzwe na walio na akili. Shetani hajawahi kumshinda Mungu CC Erythrocyte
 
Haaa haa just haa haaa .. Tripu shamba Tripu gereji 🤣🤣🤣🤣
Lissu alipiga na kuchakaza kabisa Mtupoli, likamwacha lijifie, mjanja akasepa.. KUDADEKI..!
Mheshimiwa Lissu Heshima yako mkubwa popote ulipo 🙏🏾
Aliona Lisije kikamfia. Akala nduki🤣🤣
 
Huu ndio upinzani wa kijinga.

Diplomacy haifanyiki hadharani....

Lissu anapaswa kujua ndio kawaida, wizara wa mambo ya nje lazima ifanye maandalizi ya hii mikutano, ikiwemo kufanya behind the scene lobbying. Yaani Lissu anadhani Rais atatoka hapa Dar bila kuwa na kila kitu confirmed? This is very cheap.

Kuhusu kukataliwa mikutano ni kitu cha kawaida; watu wana interest zao, local na international. Kama wakiona mkutano au picha inaweza kuleta maneno zaidi ya faida, wanachomoa tu. Hata yeye Lissu nina uhakika kuna mikutano aliomba na akakataliwa, ustaarabu ni kutunziana heshima.

Inashangaza kwamba tunamshangaa waziri wa mambo ya nje kufanya kazi yake.
Diplomasia ya kutaka sifa kwa mambo usiyofanya?

Hatushangai Waziri kwensa kufanya Lobbying. Tunashangaa kujitapa kwa wanademokrasia ambayo hamtekelezi lakini mnataka mkapate sifa.

Imekula kwenu. Dunia imebadilika achaneni na Mambo ya mwaka 47
 
Yani hii hoja imeitoa Lisu?

Jamani mrudisheni huyo mtu nyumbani naona Amsterdam anamharibu kabusa sasa
 
Yahya_Jammeh_with_Obamas_2014.jpg
 
You may not like this. But it happened...

Kumbe bwana, kabla ya Rais Samia Hassan kuhudhuria summit ya kikao cha UNGA, NewYork wiki kadhaa zilizopita, balozi Liberata Mulamula, waziri wa mambo ya kigeni alitangulia mwezi mmoja kabla ili kumwandalia Rais nafasi ya kukutana na Rais Joe Biden na kupiga picha naye. Bahati mbaya alikataliwa...!

Kwanini? Msikilize Tundu Lissu kwenye video hiyo chini...

Na kama asemayo TL ni kweli [na ni kama kweli kwa 100%], basi bila shaka utawala wa CCM unàelekea ukingoni kwa sababu haiwezekani propaganda na udanganyifu uvuke mipaka mpaka kwa Rais Joe Biden wa USA...!!

Thank God kwa kuwa hawakufanikiwa kupitisha upuuzi wao kwa taifa hilo kubwa na rafiki yetu....

Msikilize Tundu Lissu...
View attachment 1970431
Hata siku moja hupangilii muda wa kukutana na Raisi wa Marekani/makamu wake kwa kipindi cha mwezi mmoja. Ni lazima uwe umeplan zaidi ya miezi mitatu kabla hujapata huo muda. Kipindi kile nchi nyingi zinapanga kukutana na Raisi huyu katika mkutano huo.

Kwa mwaka huu Rais wa Marekani alikutana na zaidi ya viongozi 25 katika mkutano ule. Nao walipanga miezi mitano mpaka mwaka kabla.

Hivyo sikubaliani kuwa Waziri wetu wa mambo ya nchi za nje eti alihanhaika mwezi mzima akitafuta nafasi ya Rais wetu kupiga picha na Baiden - Hii siikubali. Kama Mama alivyosema alikutana na vikundi vingi na viongozi wa nchi mbali mbali - Hiyo ndio kazi aliyoifanya Waziri wetu Wa nchi za nje kwa mwezi mmoja nchini Marekani. Hiyo ya kupanga mipango ya mikutano si kitu rahisi.
 
You may not like this. But it happened...

Kumbe bwana, kabla ya Rais Samia Hassan kuhudhuria summit ya kikao cha UNGA, NewYork wiki kadhaa zilizopita, balozi Liberata Mulamula, waziri wa mambo ya kigeni alitangulia mwezi mmoja kabla ili kumwandalia Rais nafasi ya kukutana na Rais Joe Biden na kupiga picha naye. Bahati mbaya alikataliwa...!

Kwanini? Msikilize Tundu Lissu kwenye video hiyo chini...

Na kama asemayo TL ni kweli [na ni kama kweli kwa 100%], basi bila shaka utawala wa CCM unàelekea ukingoni kwa sababu haiwezekani propaganda na udanganyifu uvuke mipaka mpaka kwa Rais Joe Biden wa USA...!!

Thank God kwa kuwa hawakufanikiwa kupitisha upuuzi wao kwa taifa hilo kubwa na rafiki yetu....

Msikilize Tundu Lissu...
View attachment 1970431
USA ni rafiki wa kagame na museven!!!!


badilisheni fikra, USA wana interest ti
 
Kwani yupo hai?

Sasa unashangaa nini kwa mlinzi kufa kwa UVIKO 19 wakati aliyelindwa inasemekana kafa kwa sbb iyo hiyo...?
Sina hakika kama una akili sawasawa..yule mlinzi Lissu aliyesema kafa kwani ni kweli amekufa?..si yupo hai?
 
Tena alitwambia mapema gari lamkaa hilo, linazima mda wowote, kweli sio kweli😂
MaCCM ni vile tu akili zao hazina akili.
Wangekua wanamuelewa Lissu, ingewasaidia sana.😂😂😂😂
kumuelewa lissu na kufuata anayotaka ni sawa na kujipaka kinyesi unatembea unanuka kama yeye anavyo nuka kuolewa mwanaume hakufai akili zimeshahamia kuleeeeee!!!!!!!!!!
 
Kama wewe pekee ndo hujui wanataka nini, what is the problem so far...?

This is just a tip for you!

CHADEMA wanajua wanachokitaka.....

Ni kuwafurusha CCM madarakani na kisago wanakipata kwelikweli na ndiyo maana badala ya kushindana kwa hoja sasa wenzako wana resort kutumia polisi, mahakama na risasi dhidi ya wapinzani wao kihoja...!

Hizo ni juhudi za kuzuia maji kwa shuka yasiteremke mtaroni...
Kwa hiyo hoja zenyewe ndio zip hivi zinamsaidia nini mtz.Na kama kweli Chedema inataka nchi usingelichukua mtu uliyotuaminisha ni fisadi kisha unarudi kutuomba tumchague.hivi mnatuona wabongo hatuna akili au.

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo hoja zenyewe ndio zip hivi zinamsaidia nini mtz.Na kama kweli Chedema inataka nchi usingelichukua mtu uliyotuaminisha ni fisadi kisha unarudi kutuomba tumchague.hivi mnatuona wabongo hatuna akili au.

Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Aibuuuuu!! Mnapenda udikiteta wakati kuuishi mnaona aibu. Alitaka akapige Picha na Rais kwani inamsaidia vipi mwananchi??

Kwamba naye ni Mwanademokrasia?? Wazungu sio wajinga kama nyie waganga njaa ni Jk's Voice
 
Back
Top Bottom