Video: Kumbuizi ya miaka minne (4) ya kupigwa risasi 37, Tundu Lissu ajibu swali la kupigiwa simu na Dr. Willbroad. P. Slaa...

Ulaya ndio kimbilio la waafrika wanaoteswa na waafrika wenzao Ili wamalizwe
 
Lisu ni mropokaji tu!! Hana lolote, aendelee kutafuta huruma ya wananchi. Kila siku story ile ile, kupigwa risasi, kupigwa risasi
Mbona hili linakuchukiza sana! Vipi ni moja wa wasiojulikana? Not pleased because things didn't go the way you wanted them to...!!!
 
Unaweza ukafanya dhambi yoyote mbaya kabisa ukiwa gizani wanadamu wasikuone lakini Mungu anaona yote.
Na maisha haya ni ya muda tu ,uwe na madaraka au usiwe nayo ,uwe na fedha au usiwe nazo ,muda ukifika utakwenda mbele za Mwenye dunia na kila kitu ,mwenye kupima matendo ya kila mtu kwa haki.

Kama alijipiga risasi mwenyewe haina sawa,kama alipigwa sawa : Yote ipo siku Mungu atajibu.
Waovu wanaongoza kila mahali Afrika ,huku wema wakitiwa hofu kwa uchawi,ushirikina na mitutu ya bunduki.

Katiba mpya itakuja kwa uwezo wa Mungu mana katiba ya sasa ni kivuli cha waovu kutawala watu wema kwa manufaa yao binafsi huku wakijiimarisha kwa dhulama na kuwatisha watu kwa kutumia vyombo vya dola. Tunataka katiba inayowafanya wanajeshi wetu wawathamini watanzania wote kwa usawa badala ya kuwachongamisha na ndugu zao na kuwafanya wengine kuwa ni maadui.
 
Utakuwa huna utu na mkatili sana
 
Halafu Hamza pamoja na kufa polisi wameweza kujua Hamza ni nani!!
 
Hechilema
 
Usiwe mbumbumbu eneo lile la serikali au Chadema?
Nani aliondoa walinzi wa eneo lile?
Nani aliondoa CCTV eneo lile?
 
Tatizo mmetekwa sana kihisia na kufanya akili isitumike ipasavyo! Hata mimi ni binadamu na siungi mkono dhuruma au unyama kwa binadamu.

Nilichohitimisha mimi ni kusema maswali mengi hayana majibu. Au kwako kila kitu ni bayana?

Alafu kujidanganya kwamba katiba mpya ni muarobaini wa kila kitu ni kuweka akili mfukoni. SA imesifiwa sana kwamba ina katiba nzuri, lakini angalia mauaji yalivyotamalaki!
 
 

..swali ulilouliza halikuwa na mantiki kabisa.

..mbona hukuuliza jinsi alivyoumizwa kwa risasi mikono yote?

..au risasi zilizotolewa tumboni, mbona hukuhoji kama wafyatua risasi walikuwa mbele ya gari?

..kuhusu Katiba ni kweli haitatui matatizo yote ya nchi yetu, lakini kweli kuwa itatatua baadhi ya matatizo na hilo ni jambo jema.

..Kwani Afrika Kusini, ambao umewatolea mfano, walipoandika Katiba, waliahidi kuwa itatatua matatizo yote yanayoisibu nchi yao?
 
Lisu ni mropokaji tu!! Hana lolote, aendelee kutafuta huruma ya wananchi. Kila siku story ile ile, kupigwa risasi, kupigwa risasi

Ama kwa hakika mzigo wa mwenzio kwako ni kanda la sufi.

Wewe ulishapigwa risasi ngapi mkuu?
 
Tundu kama Tundu

Natamani aje tuliamshe na kujua mbivu mbichi ya lile jambo lake

Angekufa kama kwa yaliyomkuta Hamza Kasongo ndiyo ingekuwa basi tena hadi mbinguni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…