Video: Kuna kuzaa mtoto na kuna kuzaa mtoto wa kizungu – Harmonize

Ukisikia kujichawia ndio huku, akitoka zezeta tena jeusi ndio mwanzo wa chuki.... Mfano uanze kusema wataka jinsia ya kiume afu atokee jike, ndio mwanzo wa chuki.
 
Kwani mzungu ndionani?
Ila jamaa limbukeni hajui huyo dogo anaweza mkataa
 
Hana akiri anatukuza vyeupe
 
Nimerudi...i hope alikuwa anatania alivyosema kuna kuzaa mtoto na kuna kuzaa mtoto wa kizungu...otherwise jamaa atakuwa mshamba!
 
Ngoja apate albino kabisa
(Siwatengi maalbino lakini)
 
Hv huyu mzingu hana picha nyingine tumuone vizur
 
Sio kosa lake huyu ni limbukeni Wa kiwango cha juu kabisa
Kama anadharau weusi je albino atamuweka kundi gani
 
Pale mmakonde anapojaribu kuwa jasiri na kuendelea kuuonyesha umakonde wake kila anapokuwepo.
 
Ngozi nyeupe huwa haimuachi mtu salama
 
Mzungu mwenyewe alikuwa mke wa mmasai mmoja mlinzi huko Zanzibar.
 
Huyo Harmonize na Harmorapa hawana tofauti.
 
Dem mwnyw midomo inaelekea ananyonya sana magic stick
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…