Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulokole wake umeingiaje hapo ww nae?hulka ya mtu binafsi isikupelekee kukashfu imani ya mtu.
Chadema acheni upuuzi wkt mwingine mtumie akili hata kama unamshutumu mtu.
Bado sana nyie kupewa nchi kuongoza kwa akili hizo
Karma.
Mbowe is not cheap kula takataka hii Erythrocytemama mbowe
Hautofautiani naye pia.Ulokole wake umeingiaje hapo ww nae?hulka ya mtu binafsi isikupelekee kukashfu imani ya mtu.
Chadema acheni upuuzi wkt mwingine mtumie akili hata kama unamshutumu mtu.
Bado sana nyie kupewa nchi kuongoza kwa akili hizo
Wewe fala sanaUlokole wake umeingiaje hapo ww nae?hulka ya mtu binafsi isikupelekee kukashfu imani ya mtu.
Chadema acheni upuuzi wkt mwingine mtumie akili hata kama unamshutumu mtu.
Bado sana nyie kupewa nchi kuongoza kwa akili hizo
Usisahau na Mama Rwakatale aliposhangilia wapinzani kuuwawaBila shaka wewe ni mlokole, siyo kwa povu lako ulilotoa aisee!
Ila ukweli walokole tabia zao za kinafiki zinajulikana na zinafanana!
Refer akina bashite, gboy n.k
Duuuh! Yaani nawewe ni kiazi kweli kweli, kosa la mmoja unahukumu wote, mbona huko ccm vilaza wapo na still wanaongoza nchi? Mlokole pole sana na hii ndio tatizo la kushika mawili, nakuhakikishia kwa siasa za afrika huwezi shika dini na siasa kwapamoja, siasa zetu kuna muda zitakutoa kwenye dini tuUlokole wake umeingiaje hapo ww nae?hulka ya mtu binafsi isikupelekee kukashfu imani ya mtu.
Chadema acheni upuuzi wkt mwingine mtumie akili hata kama unamshutumu mtu.
Bado sana nyie kupewa nchi kuongoza kwa akili hizo
Ulokole wake umeingiaje hapo ww nae?hulka ya mtu binafsi isikupelekee kukashfu imani ya mtu.
Chadema acheni upuuzi wkt mwingine mtumie akili hata kama unamshutumu mtu.
Bado sana nyie kupewa nchi kuongoza kwa akili hizo
akafa yeyeUsisahau na Mama Rwakatale aliposhangilia wapinzani kuuwawa
... kiongozi hilo picha umeweka kipande sana! Natamani kujua hiyo "USINIONEE" ni kwa muktadha upi hasa bi mkubwa analalamika kuonewa? Au ni issues za jinsia? Na hiyo shida ya "brain" sijui ni ipi?Hii ni aibu sana , hata kama ni ofisa Kipenyo lakini kwa haya ni fedheha , hawa ndio walokole wa Tanzania ! Noma sana , kumbe wanapigiana simu gizani !
View attachment 1791252