Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Kinondoni ninayoishi mimi au kuna nyingine?Mh.Songoro Mnyonge ,diwani mzoefu,wa muda mrefu na mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa mno wilaya ya KINONDONI.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kinondoni ninayoishi mimi au kuna nyingine?Mh.Songoro Mnyonge ,diwani mzoefu,wa muda mrefu na mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa mno wilaya ya KINONDONI.....
Nyie bado sana,na mtatandikwa kila siku ina maana muislam mmoja akijilipua bomu kwa hulka yake ndio uanze kutukana uislam mzima?na hapo ni wapinzani tu mkipewa nchi si mtapeleka mavi kwenye nyumba za ibada za watanzania wengine sasa.Bila shaka wewe ni mlokole, siyo kwa povu lako ulilotoa aisee!
Ila ukweli walokole tabia zao za kinafiki zinajulikana na zinafanana!
Refer akina bashite, gboy n.k
Inaelekea siku mkishika dola imani/dini za watanzania wengine zitapata shida sana.Chadema imeingiaje hapo? Hulka ya mtu usiihusishe Na Chana cha watu Hakuna mahali kasema yeye ni chadema!
most stupidity thoughInaelekea siku mkishika dola imani/dini za watanzania wengine zitapata shida sana.
Mungu aepushe hili balaa
Huyu mama ana matatizo siku nyingi.Hii ni aibu sana , hata kama ni ofisa Kipenyo lakini kwa haya ni fedheha , hawa ndio walokole wa Tanzania ! Noma sana , kumbe wanapigiana simu gizani !
View attachment 1791252
Mpaka Mh Songoro Mnyonge kukasirika wazi wazi, basi huyu mama ni tatizo kubwa.Mh.Songoro Mnyonge ,diwani mzoefu,wa muda mrefu na mwanasiasa mwenye ushawishi mkubwa mno wilaya ya KINONDONI.....
Alikubali kutumika na shetaniHii ni aibu sana , hata kama ni ofisa Kipenyo lakini kwa haya ni fedheha , hawa ndio walokole wa Tanzania ! Noma sana , kumbe wanapigiana simu gizani !
View attachment 1791252
Hakuzidi weweBwashee una harakati nyingi sana!
Kaka naomba nitumie kule huku haifungukiDuh
Kila mtu na mbabe wake
Ova
Mwenyekiti kazi yake nini?Hata hivyo huyo Songoro katuabisha wanaume. Yeye anaongea maneno meeengi halafu mwanamama anaongea neno moja tu au mawili halafu anakaa kimya.
Kisha jamaa anaendelea kuongea tena maneno meeeeeengi.
Ku-deal na wanawake wa aina hii yapasa kuwa na akili.
Wamezulumiana tuBora CCM wananyukana kwa ajili ya kutetea maendeleo ya wananchi lakini Lisu ananyukana kwa ajili ya kutetea Acacia.
Za kulinda, kutetea na kueneza habari za CHADEMA na makada wake. Ni hilo tu!Bwashee una harakati nyingi sana!
Punguani wewe.Bora CCM wananyukana kwa ajili ya kutetea maendeleo ya wananchi lakini Lisu ananyukana kwa ajili ya kutetea Acacia