Wababe wamekutanaDuh
Kila mtu na mbabe wake
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wababe wamekutanaDuh
Kila mtu na mbabe wake
Ova
Yeye na mola wakeNi halali mtu kudanganya kwamba ni mlokole wakati hana ulokole hata wa kuchovya ?
Huoni hata hapo mbele Kuna microphone ya TBCSi mchezo! Nani amerekodi na kuvujisha video hii?
Hulka binafsiNi halali mtu kudanganya kwamba ni mlokole wakati hana ulokole hata wa kuchovya ?
Hilo anayeweza kuliongelea ni Mungu wake tu mwenye uwezo wa kuona mpaka rohoni. Ubarikiwe siku yako kwa neno lipatikanalo:Ni halali mtu kudanganya kwamba ni mlokole wakati hana ulokole hata wa kuchovya ?
Hebu dadavua kidogo mkuu,ili tumjue huyu mama.Huyo mama ni kimeo hatari sana na mwenye roho ya shetani na huko alikopolekwa watumishi wanaomboleza.
JF inafaa kuwa mbadala wa TISS. ☺️Hebu dadavua kidogo mkuu,ili tumjue huyu mama.
Hapo utendaji hakunaMkuu hebu tuambie hawa ni wa wapi wanatunishiana misuli waziwazi hivi
kwa yoyote anayefahamu, Tafadhali naomba unijulishe ni nini kilipelekea wakafika hatua hii?Hii ni aibu sana , hata kama ni ofisa Kipenyo lakini kwa haya ni fedheha , hawa ndio walokole wa Tanzania ! Noma sana , kumbe wanapigiana simu gizani !
Basi sema hana ulokole .usiseme ndo nlikupa walokole wa tanzaniaNi halali mtu kudanganya kwamba ni mlokole wakati hana ulokole hata wa kuchovya ?
Sasa wewe unamkanya mwenzio kwamba Muislamu mmoja akikosea si sahihi kuwajumuisha waislamu wote,wakati huo huo unawaambia CHADEMA waache upuuzi kwa kuwa tu umekosea na mtu mmoja anayedhani ni CHADEMA.Ulokole wake umeingiaje hapo ww nae?hulka ya mtu binafsi isikupelekee kukashfu imani ya mtu.
kwa hio muislam mmoja akikutukana kwa akili zake ndio uanze kuukejeli uislam wote?mjifunze ku challenge vizuri
Chadema acheni upuuzi wkt mwingine mtumie akili hata kama unamshutumu mtu.
Bado sana nyie kupewa nchi kuongoza kwa akili hizo
... kiongozi hilo picha umeweka kipande sana! Natamani kujua hiyo "USINIONEE" ni kwa muktadha upi hasa bi mkubwa analalamika kuonewa? Au ni issues za jinsia? Na hiyo shida ya "brain" sijui ni ipi?
Meya Songoro kachomekea Genge la wezi na ujenzi wa Madarasa baada ya msingi wa majengo pamesimama wiki 3kwa yoyote anayefahamu, Tafadhali naomba unijulishe ni nini kilipelekea wakafika hatua hii?
Songoro anaongeaga sanaWababe wamekutana
Mzsh kchzHuyu maza Wakati yuko Jiji kabla halijavunjwa alikua anatembelea bonge la Benz
Songoro HahahaMeya Songoro kachomekea Genge la wezi na ujenzi wa Madarasa baada ya msingi wa majengo pamesimama wiki 3
ndio Mama kapanic
Hahahaaaa....... Umenikumbusha mbali bwashee!
Humjui wewe. Uliza sisi wawekezaji wa Wilaya ya Mkuranga alivyokuwa anatufanyia akiwa DED kule.Spora stood her ground...mwanamke wa shoka huyu...presidential material kabisa