Video: Laana ya kumhujumu Meya Isaya Mwita yamtafuna Mkurugenzi Sipora Liana, adhalilishwa kikaoni

Video: Laana ya kumhujumu Meya Isaya Mwita yamtafuna Mkurugenzi Sipora Liana, adhalilishwa kikaoni

Ulokole wake umeingiaje hapo ww nae?hulka ya mtu binafsi isikupelekee kukashfu imani ya mtu.
kwa hio muislam mmoja akikutukana kwa akili zake ndio uanze kuukejeli uislam wote?mjifunze ku challenge vizuri
Chadema acheni upuuzi wkt mwingine mtumie akili hata kama unamshutumu mtu.
Bado sana nyie kupewa nchi kuongoza kwa akili hizo
Sasa wewe unamkanya mwenzio kwamba Muislamu mmoja akikosea si sahihi kuwajumuisha waislamu wote,wakati huo huo unawaambia CHADEMA waache upuuzi kwa kuwa tu umekosea na mtu mmoja anayedhani ni CHADEMA.
 
... kiongozi hilo picha umeweka kipande sana! Natamani kujua hiyo "USINIONEE" ni kwa muktadha upi hasa bi mkubwa analalamika kuonewa? Au ni issues za jinsia? Na hiyo shida ya "brain" sijui ni ipi?
kwa yoyote anayefahamu, Tafadhali naomba unijulishe ni nini kilipelekea wakafika hatua hii?
Meya Songoro kachomekea Genge la wezi na ujenzi wa Madarasa baada ya msingi wa majengo pamesimama wiki 3
ndio Mama kapanic
 
Back
Top Bottom