Video: Laana ya kumhujumu Meya Isaya Mwita yamtafuna Mkurugenzi Sipora Liana, adhalilishwa kikaoni

Video: Laana ya kumhujumu Meya Isaya Mwita yamtafuna Mkurugenzi Sipora Liana, adhalilishwa kikaoni

Ulokole wake umeingiaje hapo ww nae?hulka ya mtu binafsi isikupelekee kukashfu imani ya mtu.
kwa hio muislam mmoja akikutukana kwa akili zake ndio uanze kuukejeli uislam wote?mjifunze ku challenge vizuri
Chadema acheni upuuzi wkt mwingine mtumie akili hata kama unamshutumu mtu.
Bado sana nyie kupewa nchi kuongoza kwa akili hizo
Kujifanya Mlokole huku ukidhulumu watu kunaichafua dini nzima. Kama na wewe unafanya acha la sivyo jitoe katika Ulokole maana unaunajisi.
 

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni Bi Sipora Liana alimsumbua sana Meya Isaya Mwita, lakini madiwani wa CCM wakashangilia kwa sababu Mwita alikua Meya anayetokana na Chadema. Leo wananyukana wenyewe kwa wenyewe. Meya wao, Mkurugenzi wao, lakini vimeumana.

Nimeamini maneno ya God bless Lema kuwa wapinzani wakitoweka bungeni basi ccm hao hao wataanza kuoneana wenyewe kwa wenyewe.
Ndio demokrasia. Hawana mtazamo mmoja, upinzani imara utatoka ndani ya sisiemu, to be precise sisiemu hii aliyoiacha JPM.
 
Bora ccm wananyukana kwa ajili ya kutetea maendeleo ya wananchi lakini Lisu ananyukana kwa ajili ya kutetea Acacia
Mleta uzi @%#$€¥## kwdhani analeta bonge la uzi kuponda kumbe ndio sisiemu wanaonyesha ukomavu wao. Kama hawapati malumbano ya hoja toka upinzani basi watapata toka humo humo sisiemu.
 
Kujifanya Mlokole huku ukidhulumu watu kunaichafua dini nzima. Kama na wewe unafanya acha la sivyo jitoe katika Ulokole maana unaunajisi.
Huyo mkurugenzi hawezi kuwa mlokole maana matendo yake yana mhukumu
 
Hii ni aibu sana , hata kama ni ofisa Kipenyo lakini kwa haya ni fedheha , hawa ndio walokole wa Tanzania ! Noma sana , kumbe wanapigiana simu gizani !

Wakurugenzi wajinga wajinga wenye mawazo ya kijinga ndio wanaongoza ndio waajiri wa halmashauri!!🤔 Yaani ni kama waziri mkuu amtunie spika bungeni! Dah na mama hapo ataunda tume ya uchunguzi... Kweli JPM upumzike kwa amani. Maana ungekuwepo sijui..tu.
 
Back
Top Bottom