Video: Laana ya kumhujumu Meya Isaya Mwita yamtafuna Mkurugenzi Sipora Liana, adhalilishwa kikaoni

Video: Laana ya kumhujumu Meya Isaya Mwita yamtafuna Mkurugenzi Sipora Liana, adhalilishwa kikaoni

Ulokole wake umeingiaje hapo ww nae?hulka ya mtu binafsi isikupelekee kukashfu imani ya mtu.
kwa hio muislam mmoja akikutukana kwa akili zake ndio uanze kuukejeli uislam wote?mjifunze ku challenge vizuri.

Chadema acheni upuuzi wkt mwingine mtumie akili hata kama unamshutumu mtu.
Bado sana nyie kupewa nchi kuongoza kwa akili hizo.
Mkuu hili jamaa ni ndezi tu usiwe unalichukulia serious...Pia hawakilishi Chadema ingawa Chadema yenyewe imekuwa ya kipumbavu tu siku Hizi..ila huyu ni ndezi kuliko hiyo Chadema ya siku Hizi...
 
Hii ni aibu sana. Hata kama ni ofisa Kipenyo lakini kwa haya ni fedheha, hawa ndio walokole wa Tanzania! Noma sana. Kumbe wanapigiana simu gizani!

Zaidi soma: RC Makalla amaliza mgogoro wa Meya na Mkurugenzi Kinondoni
Ukifuatilia clips za hili sakata kwa kuangalia clips husika huko you tube ni dhahiri kabisa meya alikuwa anamwonea mkurugenzi!! Bila shaka kuna madudu ya kutisha yamejificha nyuma ya sakata hili. Naomba uchunguzi wa karibu ufanyike na huyu mama wa kinondoni alindwe.
 
Shida wakurugenzi wanaokaa kwenye viti kwa muda mrefu huwa na viburi haswa...Kama huyu zipora Liana..halafu anajiita mlokole
Sasa mambo ya ulokole yanatoka wapi? Kumletea zengwe Zipora Liana hao wadiwani itawabidi wajipange kwani wengi wao ni wezi na wajihusisha Na mihadharati!
 
Mkuu hili jamaa ni ndezi tu usiwe unalichukulia serious...Pia hawakilishi Chadema ingawa Chadema yenyewe imekuwa ya kipumbavu tu siku Hizi..ila huyu ni ndezi kuliko hiyo Chadema ya siku Hizi...
Kwi Kwi Kwi
 
Back
Top Bottom