VIDEO: Lori laanguka Morogoro, wananchi wakimbilia kuchota mafuta

VIDEO: Lori laanguka Morogoro, wananchi wakimbilia kuchota mafuta

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Lori la mafuta (ambayo bado hayajathibitishwa kuwa ya aina gani) ambalo limeelezwa kuwa lilikuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Morogoro limepinduka eneo la kijiji cha Mwidu mkoani Morogoro huku wananchi wakionekana kubebelea madumu kwa ajili ya kuchota mafuta hayo.

 
Ngoja nikachomoe betri kwanza naona hawataki kujifunza shenzi zao
 
Back
Top Bottom