cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mchomoa betri hajafika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mchomoa betri hajafika?
my country people hatusikiagi hata tukiona damu
af mbona wanatokea msituni kama jungle masters😂😂
Hapo Moro hawakomi??Lori la mafuta (ambayo bado hayajathibitishwa kuwa ya aina gani) ambalo limeelezwa kuwa lilikuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Morogoro limepinduka eneo la kijiji cha Mwidu mkoani Morogoro huku wananchi wakionekana kubebelea madumu kwa ajili ya kuchota mafuta hayo.
Akirudi hiyo mara ya tatu sasa mana hapo ziraili anapenda watu wajae jae , anaenda baba anarudi na mzigo hapo akirudi tena anakuja na wanae watatu wanabeba wakifikisha mzigo home mama nae anaona yanini nijikalie nna marejesho mama nae huyoo anaunga trela hapo familia nzima inatia maguu hapo ndo muda wa wachomoa betri kwa hisani ya ziraili sasa inaonekana shwaaaaaaah kama kilio kijacho cha LBLblack gold hiyo...jamaa kaondoka na dumu 6 sawa na lita 120 za petrol
120x2700 =324000 chap...akirudi mara tatu ana milioni yake
MAPINDUZI GANI UNATAKA WAFANYE?Natamani hawa vijana wangekuwa wanajitolea hivi kufanya mapinduzi ya nchi yao,,, hakika hizo njaa zingepungua
Washasahau ule msala wa moto uliotokea hapohapo moro miaka michache iliyopita sababu ya wizi wa mafuta baada ya Lori kupindukaLori la mafuta (ambayo bado hayajathibitishwa kuwa ya aina gani) ambalo limeelezwa kuwa lilikuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Morogoro limepinduka eneo la kijiji cha Mwidu mkoani Morogoro huku wananchi wakionekana kubebelea madumu kwa ajili ya kuchota mafuta hayo.
Milioni si kitu mbele ya kifo na akizoea hvo atkuja kufa huko hukoblack gold hiyo...jamaa kaondoka na dumu 6 sawa na lita 120 za petrol
120x2700 =324000 chap...akirudi mara tatu ana milioni yake
Ilikuwa ni kama ajali tuWameshasahau walivyochomwa kama mishikaki
HeheheMaisha magumu ndiyo yanayopelekea, wao hawajali na walishasahau
Mkuu unaujua msoto wa mlo mmoja wewe?Moro huwa hawajifunzi, wamesahau yale yaliyowatokea. Au hawa ni watoto wa 2000?