Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 941
- 2,062
Hakuna aijuaye kesho yake, acha watu/walalahoi wenzangu wajizolee rizki, chochote kikitokea potelea pote tunasema ajali kazini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu.... any man can make mistakes, but only an idiot persists in his error...😶Hakuna aijuaye kesho yake, acha watu/walalahoi wenzangu wajizolee rizki, chochote kikitokea potelea pote tunasema ajali kazini
Uliona waliolipukiwa na mafuta wakati ule? Unafikiri hata huo mlo waliula? Kuna fursa ila hiyo ya ajali ya magari ya mafuta ni fursana, ni mawili kuishi na majeraha ya kuungua na kifo.Mkuu unaujua msoto wa mlo mmoja wewe?
Maisha yamekaza acha wajisevie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tena?!Lori la mafuta (ambayo bado hayajathibitishwa kuwa ya aina gani) ambalo limeelezwa kuwa lilikuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Morogoro limepinduka eneo la kijiji cha Mwidu mkoani Morogoro huku wananchi wakionekana kubebelea madumu kwa ajili ya kuchota mafuta hayo.
ajali vipi walikimbilia kuchukua mafuta hivyo hivyoIlikuwa ni kama ajali tu
Yeah, walikuwa hawajazaliwa wakati wenzao wanungua.Moro huwa hawajifunzi, wamesahau yale yaliyowatokea. Au hawa ni watoto wa 2000?
unaenda mpaka ulikoyaficha ukikutwa imekula kwakoNaskia moto ukiwaka unafatilia mafuta pale yalipokuwa yanadondoka
Kutokea moto ndo ajali ninayoizungumziaajali vipi walikimbilia kuchukua mafuta hivyo hivyo
Waluguru ni wasahaulifu sana.Wameshasahau walivyochomwa kama mishikaki
..YAMESHASAHAU MSAMVU-MORO 2019, zaidi ya watu 100 waliteketea kwa motoLori la mafuta (ambayo bado hayajathibitishwa kuwa ya aina gani) ambalo limeelezwa kuwa lilikuwa likitokea Dar es Salaam kwenda Morogoro limepinduka eneo la kijiji cha Mwidu mkoani Morogoro huku wananchi wakionekana kubebelea madumu kwa ajili ya kuchota mafuta hayo.