VIDEO: Lori laanguka Morogoro, wananchi wakimbilia kuchota mafuta

Hakuna aijuaye kesho yake, acha watu/walalahoi wenzangu wajizolee rizki, chochote kikitokea potelea pote tunasema ajali kazini
 
Yaani wanaenda kuchukua mali ya mtu mwingine. Maana yake ni wezi na yawapasa kushughulikiwa na mamlaka husika
 
Mkuu unaujua msoto wa mlo mmoja wewe?
Uliona waliolipukiwa na mafuta wakati ule? Unafikiri hata huo mlo waliula? Kuna fursa ila hiyo ya ajali ya magari ya mafuta ni fursana, ni mawili kuishi na majeraha ya kuungua na kifo.
 
Naskia moto ukiwaka unafatilia mafuta pale yalipokuwa yanadondoka
 
Tena?!
Njaa mbaya sana sana sana!
 
..YAMESHASAHAU MSAMVU-MORO 2019, zaidi ya watu 100 waliteketea kwa moto
 
Hawa wamekubaliana hakuna kuchomoa betri πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…