Lihakanga
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 4,823
- 6,416
Shule ulikimbiaHapo sawa.. .
Tatizo ni pale ME anapotamka neno MABEBERU, impliedly yy anakuwa ni JiKE lao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shule ulikimbiaHapo sawa.. .
Tatizo ni pale ME anapotamka neno MABEBERU, impliedly yy anakuwa ni JiKE lao
Labda weweShule ulikimbia
Makamanda uchwara hayaelewi.WaAfrika wamesanuka kwamba hizo ni propaganda tupu za kumchafua JPM
Upande mmoja ukiwa na MABEBERU upande mwingine utakua na mabuzi jike.Hivi wazungu wakiitwa mabeberu Waafrika wataitwaje?.Yaani kauli hizi inabidi kuwa nazo makini sana hata kama mtu unamchukia.Binafsi siwezi kuwaita wazungu mabeberu kwasababu ni kujitusi wenyewe.
Umeona enhh!!!!,Kwa hiyo mkulu anaposema Wazungu ni mabeberu anamaanisha yeye ni mbuzi jike.Upande mmoja ukiwa na MABEBERU upande mwingine utakua na mabuzi jike.
Now you know
Kwa hiyo wewe ni mbuzi jikeSawa, ila haibadilishi ubeberu wao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], mabeberuuuuuuu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Duniani wawili wawili,kukiwa na mke na mume yupo,kukiwa mrefu basi kuna mfupi pia;Kwa hiyo wazungu wakiitwa mabeberu nyie Waafrika basi mumekuwa mbuzi jike mnasubiri kupandwa na kumwagiwa shawaha ili mbebe mimba.Kwani neno mabeberu ni tusi?
Wewe mwenye akili ya juu usingeshabikia uchuro wa kijaniAkili ya chini
Wewe wasemaUmeona enhh!!!!,Kwa hiyo mkulu anaposema Wazungu ni mabeberu anamaanisha yeye ni mbuzi jike.
Umeongea la maana sanaLogic and Arguments Should be the only topic taught in secondary education... Kwa miaka yote minne.
Inahuzunisha jinsi watu wanavyoargue... Kama wana mtindio wa ubongo. Watanzania wengi hawako objective... Clouded na Ushabiki maandazi na kaumimi ka hovyo tu.
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Maana yake waafrika ni mbuzi jikeHivi wazungu wakiitwa mabeberu Waafrika wataitwaje?.Yaani kauli hizi inabidi kuwa nazo makini sana hata kama mtu unamchukia.Binafsi siwezi kuwaita wazungu mabeberu kwasababu ni kujitusi wenyewe.
Umeona eennh??!!!.Sasa Mimi simo.Maana yake waafrika ni mbuzi jike
Ndo hivyo nimesema.Wewe wasema