OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Na siku ikiwa tofauti usikose kuja hapa
Magoli yanaonekana, yanapikwa yanapakuliwa. Kipindi cha kwanza unapigwa kipindi cha pili unanyukwa. Mwana kulitaka mwana kulipewa. Boli linatembea. Ni magoli mixer, yapo ya uwezo binafsi yapo ya mfumo wa sayansi ya mpira.
Tofauti kabisa na wale ndugu zetu magoli ya ujanja ujanja. Magoli ya kushirikiana refa na timu pinzani. Ushindi mpaka mvae jesi nyeusi. Eti mpaka mpaka mpitie milango ya uwani au kuingia vyumbani kinyume nyume [emoji23][emoji23][emoji23]
Unajiuliza hapa tunatazama mpira au mashindano ya uganga kule Simiyu.
Tazama mwenyewe hapo upate raha
Simba pekee ndio hua anafungwa kihahali na Yanga wengine wote hua wanahongwa
Magoli yanaonekana, yanapikwa yanapakuliwa. Kipindi cha kwanza unapigwa kipindi cha pili unanyukwa. Mwana kulitaka mwana kulipewa. Boli linatembea. Ni magoli mixer, yapo ya uwezo binafsi yapo ya mfumo wa sayansi ya mpira.
Tofauti kabisa na wale ndugu zetu magoli ya ujanja ujanja. Magoli ya kushirikiana refa na timu pinzani. Ushindi mpaka mvae jesi nyeusi. Eti mpaka mpaka mpitie milango ya uwani au kuingia vyumbani kinyume nyume [emoji23][emoji23][emoji23]
Unajiuliza hapa tunatazama mpira au mashindano ya uganga kule Simiyu.
Tazama mwenyewe hapo upate raha
Yanga akimfunga Simba ujue kuna watu ndani ya Simba wameihujumu timu eidha ndani ya uwanja au nje ya uwanja.Simba pekee ndio hua anafungwa kihahali na Yanga wengine wote hua wanahongwa
Endeleeni na malalamiko siku mkipata akili tuna kombe la nneYanga akimfunga Simba ujue kuna watu ndani ya Simba wameihujumu timu eidha ndani ya uwanja au nje ya uwanja.
Magoli halali?
Magoli yanaonekana, yanapikwa yanapakuliwa. Kipindi cha kwanza unapigwa kipindi cha pili unanyukwa. Mwana kulitaka mwana kulipewa. Boli linatembea. Ni magoli mixer, yapo ya uwezo binafsi yapo ya mfumo wa sayansi ya mpira.
Tofauti kabisa na wale ndugu zetu magoli ya ujanja ujanja. Magoli ya kushirikiana refa na timu pinzani. Ushindi mpaka mvae jesi nyeusi. Eti mpaka mpaka mpitie milango ya uwani au kuingia vyumbani kinyume nyume [emoji23][emoji23][emoji23]
Unajiuliza hapa tunatazama mpira au mashindano ya uganga kule Simiyu.
Tazama mwenyewe hapo upate raha
Simba alishaacha kutumia yutong heri ya wewe unaetumia tata africaMijitu mijinga hadi inakera. Hivi ligi hiyo inatoa pesa kiasi gani hadi kila mechi yanga wanunue game. Yaani mnaroka hadi sasa mnaonekana wapumbavu. Pambaneni na timu yenu. Usikute hata kutumia coaster ni yanga wamewahonga madereva wenu wasiende yutong
Kama goli la Aziz ki..manula akabaki kabinua makalioMgunda kocha makini na wachazeji wanamuelewa. Acha Yanga waendelee kumuita muhamasishaji.
Yaani magoli yanatokana na move ya mpira.. sio yale magoli ya Yanga ya butua butua.. ikishindikana .. basi wanatoa bahasha
Tunaenda makundi tutaelewana tuMgunda kocha makini na wachazeji wanamuelewa. Acha Yanga waendelee kumuita muhamasishaji.
Yaani magoli yanatokana na move ya mpira.. sio yale magoli ya Yanga ya butua butua.. ikishindikana .. basi wanatoa bahasha
ID yako inasadifu akili zako, Ebu nipe mchanganuo wa timu inayoongoza kwa kupiga pasi nyingi hapa Tanzania, Ukimaliza hapo utuambie ni timu ipi inacheza soka la kitabuni kitimu pasipo kumtegemea mchezaji mmoja,,baada ya hapo utakuwa umejijibu juu ya magoli unayosema ni butua butuaMgunda kocha makini na wachazeji wanamuelewa. Acha Yanga waendelee kumuita muhamasishaji.
Yaani magoli yanatokana na move ya mpira.. sio yale magoli ya Yanga ya butua butua.. ikishindikana .. basi wanatoa bahasha
Yanga akimfunga mwarabu kwao ujue waarab wa bongo wametoa pesa nje ya uwanja huko Yanga walikochezaYanga akimfunga Simba ujue kuna watu ndani ya Simba wameihujumu timu eidha ndani ya uwanja au nje ya uwanja.
Mechi na Yanga magoli ya simba hayapikiki wala kupakuliwa! Chama na Phiri wote tunaweka mfukoni! Anaetamba ni Feisal na Mayele tuMagoli yanaonekana, yanapikwa yanapakuliwa. Kipindi cha kwanza unapigwa kipindi cha pili unanyukwa. Mwana kulitaka mwana kulipewa. Boli linatembea. Ni magoli mixer, yapo ya uwezo binafsi yapo ya mfumo wa sayansi ya mpira.[emoji818][emoji817]