Video: Magoli halali ya Simba dhidi ya Geita, bila bahasha kama wenzetu

Video: Magoli halali ya Simba dhidi ya Geita, bila bahasha kama wenzetu

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001


Magoli yanaonekana, yanapikwa yanapakuliwa. Kipindi cha kwanza unapigwa kipindi cha pili unanyukwa. Mwana kulitaka mwana kulipewa. Boli linatembea. Ni magoli mixer, yapo ya uwezo binafsi yapo ya mfumo wa sayansi ya mpira.

Tofauti kabisa na wale ndugu zetu magoli ya ujanja ujanja. Magoli ya kushirikiana refa na timu pinzani. Ushindi mpaka mvae jesi nyeusi. Eti mpaka mpaka mpitie milango ya uwani au kuingia vyumbani kinyume nyume 😂😂😂
Unajiuliza hapa tunatazama mpira au mashindano ya uganga kule Simiyu.

Tazama mwenyewe hapo upate raha
 


Magoli yanaonekana, yanapikwa yanapakuliwa. Kipindi cha kwanza unapigwa kipindi cha pili unanyukwa. Mwana kulitaka mwana kulipewa. Boli linatembea. Ni magoli mixer, yapo ya uwezo binafsi yapo ya mfumo wa sayansi ya mpira.

Tofauti kabisa na wale ndugu zetu magoli ya ujanja ujanja. Magoli ya kushirikiana refa na timu pinzani. Ushindi mpaka mvae jesi nyeusi. Eti mpaka mpaka mpitie milango ya uwani au kuingia vyumbani kinyume nyume [emoji23][emoji23][emoji23]
Unajiuliza hapa tunatazama mpira au mashindano ya uganga kule Simiyu.

Tazama mwenyewe hapo upate raha
Na siku ikiwa tofauti usikose kuja hapa
 


Magoli yanaonekana, yanapikwa yanapakuliwa. Kipindi cha kwanza unapigwa kipindi cha pili unanyukwa. Mwana kulitaka mwana kulipewa. Boli linatembea. Ni magoli mixer, yapo ya uwezo binafsi yapo ya mfumo wa sayansi ya mpira.

Tofauti kabisa na wale ndugu zetu magoli ya ujanja ujanja. Magoli ya kushirikiana refa na timu pinzani. Ushindi mpaka mvae jesi nyeusi. Eti mpaka mpaka mpitie milango ya uwani au kuingia vyumbani kinyume nyume [emoji23][emoji23][emoji23]
Unajiuliza hapa tunatazama mpira au mashindano ya uganga kule Simiyu.

Tazama mwenyewe hapo upate raha
Simba pekee ndio hua anafungwa kihahali na Yanga wengine wote hua wanahongwa
 
Mijitu mijinga hadi inakera. Hivi ligi hiyo inatoa pesa kiasi gani hadi kila mechi yanga wanunue game. Yaani mnaroka hadi sasa mnaonekana wapumbavu. Pambaneni na timu yenu. Usikute hata kutumia coaster ni yanga wamewahonga madereva wenu wasiende yutong
 


Magoli yanaonekana, yanapikwa yanapakuliwa. Kipindi cha kwanza unapigwa kipindi cha pili unanyukwa. Mwana kulitaka mwana kulipewa. Boli linatembea. Ni magoli mixer, yapo ya uwezo binafsi yapo ya mfumo wa sayansi ya mpira.

Tofauti kabisa na wale ndugu zetu magoli ya ujanja ujanja. Magoli ya kushirikiana refa na timu pinzani. Ushindi mpaka mvae jesi nyeusi. Eti mpaka mpaka mpitie milango ya uwani au kuingia vyumbani kinyume nyume [emoji23][emoji23][emoji23]
Unajiuliza hapa tunatazama mpira au mashindano ya uganga kule Simiyu.

Tazama mwenyewe hapo upate raha
Magoli halali?
Nyie mmejilimbikizia kesi za ulozi ambapo sidhani kama mlisha maliza kulipa faini kule soth afrika na uwanja wa sokoine mbeya

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Mijitu mijinga hadi inakera. Hivi ligi hiyo inatoa pesa kiasi gani hadi kila mechi yanga wanunue game. Yaani mnaroka hadi sasa mnaonekana wapumbavu. Pambaneni na timu yenu. Usikute hata kutumia coaster ni yanga wamewahonga madereva wenu wasiende yutong
Simba alishaacha kutumia yutong heri ya wewe unaetumia tata africa
 
Mgunda kocha makini na wachazeji wanamuelewa. Acha Yanga waendelee kumuita muhamasishaji.

Yaani magoli yanatokana na move ya mpira.. sio yale magoli ya Yanga ya butua butua.. ikishindikana .. basi wanatoa bahasha
 
Mgunda kocha makini na wachazeji wanamuelewa. Acha Yanga waendelee kumuita muhamasishaji.

Yaani magoli yanatokana na move ya mpira.. sio yale magoli ya Yanga ya butua butua.. ikishindikana .. basi wanatoa bahasha
Kama goli la Aziz ki..manula akabaki kabinua makalio
 
Mgunda kocha makini na wachazeji wanamuelewa. Acha Yanga waendelee kumuita muhamasishaji.

Yaani magoli yanatokana na move ya mpira.. sio yale magoli ya Yanga ya butua butua.. ikishindikana .. basi wanatoa bahasha
ID yako inasadifu akili zako, Ebu nipe mchanganuo wa timu inayoongoza kwa kupiga pasi nyingi hapa Tanzania, Ukimaliza hapo utuambie ni timu ipi inacheza soka la kitabuni kitimu pasipo kumtegemea mchezaji mmoja,,baada ya hapo utakuwa umejijibu juu ya magoli unayosema ni butua butua
 
Yanga akimfunga Simba ujue kuna watu ndani ya Simba wameihujumu timu eidha ndani ya uwanja au nje ya uwanja.
Yanga akimfunga mwarabu kwao ujue waarab wa bongo wametoa pesa nje ya uwanja huko Yanga walikocheza


Hebu wanasimba oneni aibu Yanga haihitaji kutoa pesa ili kushinda Simba, makolo wachovu tu , mara ya mwisho Simba kushinda Yanga walikuwa pungufu! Yanga ni timu tishio duniani unbeaten 49 , Yanga ina kocha bora Prof Nabi pia ina quality and talented players Aziz Ki , Aucho, Bangala, Feisal , Mayele, Moloko , Diarra, Job , Lomalisa nk

Simba tengenezeni timu yenu acheni uzushi kuwa Yanga inahonga ili kushinda mbona sasa Ihefu walituharibia sherehe kwa njama za Simba
 
Magoli yanaonekana, yanapikwa yanapakuliwa. Kipindi cha kwanza unapigwa kipindi cha pili unanyukwa. Mwana kulitaka mwana kulipewa. Boli linatembea. Ni magoli mixer, yapo ya uwezo binafsi yapo ya mfumo wa sayansi ya mpira.[emoji818][emoji817]
 
Magoli yanaonekana, yanapikwa yanapakuliwa. Kipindi cha kwanza unapigwa kipindi cha pili unanyukwa. Mwana kulitaka mwana kulipewa. Boli linatembea. Ni magoli mixer, yapo ya uwezo binafsi yapo ya mfumo wa sayansi ya mpira.[emoji818][emoji817]
Mechi na Yanga magoli ya simba hayapikiki wala kupakuliwa! Chama na Phiri wote tunaweka mfukoni! Anaetamba ni Feisal na Mayele tu
 
"Yanga inashinda kwa bahasha" ila simba inashinda kihalali!! Ok.

Inakuwaje sasa smba hiyo hiyo kwa mara ya mwisho kumfunga Yanga, ilikuwa ni kwenye fainali ya ASFC kule Kigoma! Baada ya hapo, ni kipigo tu! Na ikijitahidi sana, basi ni sare.

Mnazinyooshea kidole timu nyingine kuhongwa na Yanga ili zifungwe! Mbona na nyinyi msiopewa bahasha, huwa mnafungwa?
 
Yanga mwaka huu kama watachukua kombe basi ni kwa mbindeeeeeeeee
 
Back
Top Bottom