Makiwendo
JF-Expert Member
- Aug 12, 2015
- 9,980
- 34,404
Waghana hapana aisee..Sio Ghana kweli? Ndio wanapenda kucheza na maiti.
Maiti kabla ya kuzikwa inakalishwa kwenye eneo lake alilokuwa anafanyia kazi...
Kama alikuwa ni Bodaboda maiti inakalishwa kwenye Boda.