johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Queen Elizabeth jeneza halikufunuliwa🐼
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wayahudi wakiwa njiani kwenda Kuzika walikutana na Yesu naye akaona ni kijana amefariki akamfufua.Namuunga mkono askofu 100%.
Huu uamuzi binafsi niliuchukuq wiki kadhaa zimepita kwenye msiba wa mtu wangu wa karibu na kuufanya ndio utaratibu wangu mpya.
Namuaga mtu akiwa mgonjwa, akifa simuagi mara ya mwisho maana mtu akifa anakuwa udongo sio mtu tena.
Hii ni baada ya kuzembea kumuona jamaa yangu afaka siku hiyohiyo niliyohairisha kumuona hospital.
Kwa hili naungana na waislam na wayahudi.
Kuna siasa gani hapo? Kwani kataja chama cha siasa? Kama ulikuwa na shida sura ya Lowassa ungeenda hospital kumuona au angalia tbc utaona marudio ya hotuba zake na sura yake.Analeta siasa kwenye mazishi!
Kwangu Mimi ni sawa tu. Kwani watu wakimuona inaongeza nini kwa marehemu?"Mara nyingi kunataratibu zikiendelea kwenye Kanisa watu wanafikili labda ndio sheria au utaratibu hatuna ulazima kwenye kanisa kufungua na kuoona mwili wa mwanadamu aliyelala, tuwe tunatazama tukiwa hai na sio kusubili binadamu aliyelala," Askofu Malasusa
View attachment 2903914
Haisemi alimfunua akamchungulia. Inasema kulikuwa na kijana wa mjane amefariki. Hivyo ilikuwa ni habari sio kufunua maitiWayahudi wakiwa njiani kwenda Kuzika walikutana na Yesu naye akaona ni kijana amefariki akamfufua.
Ikusaidie nini?Halafu kweli,kwanini jeneza halifunguliwi tuone alivyolala
Mkuu, ni siri ipi hiyo si mbaya ukituambia.Mwenye hela anatafutiwa kila sababu asifunuliwe kuficha siri. Askofu kazunguuuka weeee. Kafunuliwa Nyerere, Mkapa, JPM. Papa etc sembuse lowassa
Watu walikuwa nae hospital akfariki .wakampeleka mochuary wakahifadhi, wakamuandaa na kuweka kwenye jeneza. Kote huko hawajahakikisha tu???Kwamba ni sawa kuaga pasi kuhakikisha unaaga nini!!
Mkuu, ni siri ipi hiyo si mbaya ukituambia.
Angekuwa muwazi tuAaha kuzunguka labda marehemu mwili umevimba sana huwa kawaida sana kutokana na madawa......inakua ngumu kuaga
Halafu kweli kuna jambo sio buleMwenye hela anatafutiwa kila sababu asifunuliwe kuficha siri. Askofu kazunguuuka weeee. Kafunuliwa Nyerere, Mkapa, JPM. Papa etc sembuse lowassa
Kilichokufanya uende msibani ni kuangalia maiti??Kwamba ni sawa kuaga pasi kuhakikisha unaaga nini!!
Huu utaratibu wa kuzunguka jeneza likiwa na mwili ndani ni mila za kizungu za kipagani zikaridhiwa na kanisa katoliki ni ibada ya wafu ambayo ni kosa .Namuunga mkono askofu 100%.
Huu uamuzi binafsi niliuchukuq wiki kadhaa zimepita kwenye msiba wa mtu wangu wa karibu na kuufanya ndio utaratibu wangu mpya.
Namuaga mtu akiwa mgonjwa, akifa simuagi mara ya mwisho maana mtu akifa anakuwa udongo sio mtu tena.
Hii ni baada ya kuzembea kumuona jamaa yangu afaka siku hiyohiyo niliyohairisha kumuona hospital.
Kwa hili naungana na waislam na wayahudi.
Ukosefu wa maarifa sahihi ya neno la MunguHuu utaratibu wa kuzunguka jeneza likiwa na mwili ndani ni mila za kizungu za kipagani zikaridhiwa na kanisa katoliki ni ibada ya wafu ambayo ni kosa .
Unazungukwa mwili, Mara uinamiwe kwa heshima au upigiwe magoti Kama humphrey pole pole .
Ule ni Mwili hakuna roho baada ya muda utaharibika hata ukihifadhiwa Kama kina farao.