Video: Mateka 250 waokolewa, HAMAS 60 wauawa na 26 kukamatwa

Video: Mateka 250 waokolewa, HAMAS 60 wauawa na 26 kukamatwa

Urongo huu so far Israel wamepiga bomu linalosemekana kuwa ni la phosphorus ambalo lina effect kwenye anga hewa na huwa na madhara makubwa kwa binadamu
 
Urongo huu so far Israel wamepiga bomu linalosemekana kuwa ni la phosphorus ambalo lina effect kwenye anga hewa na huwa na madhara makubwa kwa binadamu
Tangu sikubnne zikizopita walikua wakiimba hako kawimbo ka Phosphorus hadi kame expire, au wewe ndiyo umekapata?
 
Hao 250 ni waliokuwa ndani ya Israeli miji ya mipakani na Gaza.

100 ni wale waliovushwa kwenda Gaza kwenye kambi za Hamas.
Kwahiyo kumbe mpaka sasa bado kuna waisrael walio mateka ndani ya nchi yao
 
Ukisikia waisraeli wamekufa 100 punguza hapo sifuri na ukisikia wapalestina wamekufa 100 ongeza hapo sifuri
Uwo ndio ukweli
 
Mkiambiwa makomando wa Israel ni moto wa kuotea mbali, yaani hapa kama movie, jamaa wameicheza kiaina aki ya nani nimefurahi hadi naumwa, hii itaandikwa kwenye vitabu na movie zitakua shot nyingi, makamu wa magaidi pia amekamatwa hai Abu A'ali the Deputy Commander of the Hamas.

===========


View: https://twitter.com/i/status/1712579906423431208

The Flotilla 13 elite unit was deployed to the area surrounding the Gaza security fence in a joint effort to regain control of the Sufa military post on October 7th. The soldiers rescued around 250 hostages alive. 60+ Hamas terrorists were neutralized and 26 were apprehended—including Muhammad Abu A'ali the Deputy Commander of the Hamas southern Naval Division.


View: https://twitter.com/IDF/status/1712579906423431208?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1712579906423431208%7Ctwgr%5E4d7228327d8e760df032e4acb0baff8429427512%7Ctwcon%5Es1_&ref_url=https%3A%2F%2Fwww.pravda.com.ua%2Feng%2Fnews%2F2023%2F10%2F13%2F7423926%2F

Du!Hamas waliidanganya dunia wanamateka 120,sijui walikuwa wanamaana gani!
 
Mkiambiwa makomando wa Israel ni moto wa kuotea mbali, yaani hapa kama movie, jamaa wameicheza kiaina aki ya nani nimefurahi hadi naumwa, hii itaandikwa kwenye vitabu na movie zitakua shot nyingi, makamu wa magaidi pia amekamatwa hai Abu A'ali the Deputy Commander of the Hamas.

===========


View: https://twitter.com/i/status/1712579906423431208

The Flotilla 13 elite unit was deployed to the area surrounding the Gaza security fence in a joint effort to regain control of the Sufa military post on October 7th. The soldiers rescued around 250 hostages alive. 60+ Hamas terrorists were neutralized and 26 were apprehended—including Muhammad Abu A'ali the Deputy Commander of the Hamas southern Naval Division.


View: https://twitter.com/IDF/status/1712579906423431208?ref_src=twsrc%5Etfw%7Ctwcamp%5Etweetembed%7Ctwterm%5E1712579906423431208%7Ctwgr%5E4d7228327d8e760df032e4acb0baff8429427512%7Ctwcon%5Es1_&ref_url=https%3A%2F%2Fwww.pravda.com.ua%2Feng%2Fnews%2F2023%2F10%2F13%2F7423926%2F


Hii habari uchwara yako uliiona hata huko times of Israel?
 
Nawalete habari IDF inavyofyatua na kugaragaza kila kinachopumua...
sawa ila ule ujinga wa kutuletea mambo za sijui IDF ndo jeshi au makomando bora duniani ufe...wangeenda wanangu wa 511 kutoka gongo la mboto wangekomboa hawa mateka ndani ya wiki tu...
 
Habari yako uchwara hii:

"Mateka 250 waokolewa, HAMAS 60 wauawa na 26 kukamatwa"

Ulikuwa unaota au bangi za kuvutia chooni?

Israel wamfyatua kila chenye pumzi na wanaendelea.
Myahudi ni mtu muhimu sana kuliko mazombi yenu ambayo kazi kuvaa mikanzu tu

20231204_153840-jpg.2839604
 
Nyuzi zisizokuwa na ukweli hizi kwanini Mods mnaruhusu JF kugeuzwa kuwa kijiwe cha vijana wa hovyo?

Mpaka mtaita maji ma, namba zinaelekea kugonga 20,000
kazi kuvaa mikanzu tu
 
Back
Top Bottom