fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
huyu mbona alipokuwa udsm alishirikiMwenyekiti wa zamani wa Nccr Mageuzi Mhe. James Mbatia, akiwa anafanya mahojiano na Edwin Odemba ameitaka Serikali iweke bayana msimamo wake kuhusu suala la ushoga na usagaji.
Mbatia amesema,
"Napinga Ushoga kwa nguvu zangu zote, Mungu alituleta hapa Duniani tuzaliane na kuijaza Dunia, Serikali ieleze bayana msimamo wake kuhusu suala la Ushoga & Usagaji, kwani kila siku serikali yetu inapiga magoti kwa mataifa yanayounga mkono ushoga kuomba mikopo”
ANGALIA VIDEO HAPA
View attachment 2895173
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 [emoji3578]
Nazani nawe ni miongoni nwao hao mashoga nini??!!!unazidi kujipunguzia wapiga kura wako wengine ni mashoga
Wanatumika na CCMHuyu Meku kwake ndio la muhimu hilo?
Mbatia kakomalia Ushoga
Lipumba kakomalia lishe
Rungwe kakomalia Ubwabwa
Hamad Rashid,Mamose Cheyo na vyama 13 visivyo na wabunge Wala madiwani ---wakekomalia Chadema
Nchi ya Wagagagigikoko
Ila huyu mwana ni pandikizi aliyegeuzwa TPMwenyekiti wa zamani wa Nccr Mageuzi Mhe. James Mbatia, akiwa anafanya mahojiano na Edwin Odemba ameitaka Serikali iweke bayana msimamo wake kuhusu suala la ushoga na usagaji.
Mbatia amesema,
"Napinga Ushoga kwa nguvu zangu zote, Mungu alituleta hapa Duniani tuzaliane na kuijaza Dunia, Serikali ieleze bayana msimamo wake kuhusu suala la Ushoga & Usagaji, kwani kila siku serikali yetu inapiga magoti kwa mataifa yanayounga mkono ushoga kuomba mikopo”
ANGALIA VIDEO HAPA
View attachment 2895173
Nini maoni yako?
Written by Mjanja M1 [emoji3578]
Wanata waachwe eti wachezee mavi Kama watoto wanaojinyea… sijui haya mambo ni kwa nini ni makubwa sana kwenye mijadara huku Afrika kuliko ulaya na marekani…?Haya mambo sijui kwa nini yanakuwa hivi kwani hao mashoga wakifanya hayo mambo yao faragha huko wala tusingekuwa na haya malumbano kuhusu ushoga.
Unaweza kusema afrika hakukuwa na mashoga ndio maana tunaona haya malumbano sasa hivi, wao wafanye tu huko kwa faragha hakuna hata atakaye jua wala kuwafutilia.Wanata waachwe eti wachezee mavi Kama watoto wanaojinyea… sijui haya mambo ni kwa nini ni makubwa sana kwenye mijadara huku Afrika kuliko ulaya na marekani…?
Mbona umehamaki na wewe unabokolewa? Pole kama nimegusa maslahi yako auntie yangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] we jamaa hazikutoshi kabisa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Msimamo wa CCM na Serikali yake ni huu hapaView attachment 2895262View attachment 2895264
Hahaha mie mbokoaji sheikhMbona umehamaki na wewe unabokolewa? Pole kama nimegusa maslahi yako auntie yangu