BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,790
- 288,165
Kwa kuwa Babaako kakufundisha huo upuuzi usidhani kila mtu anaufanya.
Mse**** Poyoyo mwenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mse**** Poyoyo mwenyewe.
Ebu weka na video ya magu akizomewa.Hapa ni leo Hai ambapo inaonekana watu wale wa awali pamoja na wengine wameongezeka na kuharibu mkutano wa Mbowe huko Narum kabla hata haujaanza.
Nashangaa ni kwa nini Hai? Lazima hatua zichukuliwe la sivyo tutaanza kulaumiana!
Tulia dawa iwaingie kunako.Hao ni wahuni waliokodishwa na maccm.
Wafanya vurugu hawa hapa
Tulia dawa iwaingie kunako.
Wewe ndiyo utakuwa mshukiwa wa kwanza kwenye tukio hilo! Ngoja tusubiri.Natabiri Leo. Yaliyomtokea Mkuu wa Mkoa wa Iringa Dr Kreluuu yatakuja kumtokea mkuu wa wilaya ya Hai.
Lini Mungu anajua
Angalieni hili ZWAZWA jingine la lumumba!
Who are you by the way?This is the most illiterate, misogynist and misguided person in the whole country and his mission has been to sabotage Mbowe from day one. He is paying some goons TZS 20,000 per person to create some havoc during this electioneering phase. We shall overcome.
Na wewe ni ass wa Ufipa anayebeba mabox na kuosha vi babu vya kizungu huko ughaibuni!!Angalieni hili ZWAZWA jingine la lumumba!
Kale ka-DC kashamba ka Hai nadhani kakuponda hiyo kichwa wamekaacha sana watu wa Hai ustaarabu umezidi.Hapa ni leo Hai ambapo inaonekana watu wale wa awali pamoja na wengine wameongezeka na kuharibu mkutano wa Mbowe huko Narum kabla hata haujaanza.
Nashangaa ni kwa nini Hai? Lazima hatua zichukuliwe la sivyo tutaanza kulaumiana!
Mbona niko huku migombani hayo ni kikundi tu cha ccm saashisha mafuwe atasubiri sana ngoja kaka ajeHahah endeleeni tu kujifariji! Mwenyekiti wenu hana chake huko Hai! Maskini DJ ndo mana yupo kimya sana!
Wananchi wa Hai hawamtaki Mbowe lazima mkubali ukweli huo! Ingekuwa wana Hai wengi wanampenda Mbowe sidhani kama wangekuwa wanavunja mikutano yake kila mara. Lazima mkubali hali halisi Mbowe hana lake Hai mwaka huu achani kumsingizia DC.Kale ka-DC kashamba ka Hai nadhani kakuponda hiyo kichwa wamekaacha sana watu wa Hai ustaarabu umezidi.
Wewe inaonekana upo kwa mabwana zako unabeba mabox.Wa CCM akiimba hampendi mpinzani hakuna cha ajabu, ajabu itakuwepo kama mpinzani ataimba kuwa anampenda wa CCM liChama lililooza linanuka kama Skunk ndo maana hata wakati huu wa kampeni wanachama wake hawaonekani wamejazana mitaani wamevaa kijani kama zamani, wanaona aibu kujitambulisha na liChama hilo. Skunk ni mnyama wa kule Marekani akisitushwa anatoa ushuzi wenye harufu kali sana kumfukuza aliyemtishia maisha ambaye atakimbiwa na kila atakayemkaribia mpaka atakapooga. Kaa chonjo na CCM!
Mlio kodi?Hao ni wahuni waliokodishwa na maccm.
Sasa kama hawamtaki si wamkatae kwenye sanduku LA kura? Hyo ni vurugu.sio jambo La kushangilia.Wananchi wa Hai hawamtaki Mbowe lazima mkubali ukweli huo! Ingekuwa wana Hai wengi wanampenda Mbowe sidhani kama wangekuwa wanavunja mikutano yake kila mara. Lazima mkubali hali halisi Mbowe hana lake Hai mwaka huu achani kumsingizia DC.