Pre GE2025 Video: Mbunge wa Malinyi Morogoro achafuka kama mtoto baada ya kutembea kwenye matope akishangaa kwanini jimbo lake lina miundombinu mibovu

Pre GE2025 Video: Mbunge wa Malinyi Morogoro achafuka kama mtoto baada ya kutembea kwenye matope akishangaa kwanini jimbo lake lina miundombinu mibovu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakuu,

Hivi nyie wenzangu mnawaelewa hawa CCM?

Huyu Mbunge wa Malinyi anamlalamikia nani kwamba Jimbo lake lina miundombinu mibovu kiasi hiki?

Hii ni video ambayo amepost katika Instagram yake. Anasema kwamba hapo gari yake ilikuwa imenasa katika tope, kitongojini Kalihanya, Baada ya hekaheka za kujinasua, hali ndio ikawa hivi.

Ni aibu Mbunge kulialia mtandaoni kwamba barabara ni mbovu meanwhile ulikuwa bungeni miaka 5 kazi yako ilikuwa ni ku-advocate barabara zitengenezwe.

CCM punguzeni kutia tia huruma kwa wananchi. Tengenezeni barabara

Morogoro wananchi wameshikiwa akili na ccm hovyooo
 
Back
Top Bottom