Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Kwani itakuwa mara ya kwanza?
Si walimuua ben saanane?
Si walimuua ben saanane?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijawahi kuisikia hii ila lolote linawezekana, maana wachungaji wa leo wako kipesa zaidi.inasemekana pia ni mchawi
Huyo mama alipewa Pesa na msaada na mabasi na mabeberu ajenge shule ziwasaidie bure wasiojiweza wapate elimu yeye anatoza Ada kubwa kibiashara
Alipewa mabus bure yatumiwe na wanafunzi bure anatozaKanisa lake ilo kajenga kwa vyuma vya wizi katoa morogoro kiwandani alikuwa kapewa aanzishe shule kumbe alikuwa anatoa kimoja kimoja analeta dar
Kotekote anataka kavaa nguo ya kijani kulinda nyumba yake aliyojenga baharini isivunjwe ukiwa ccm unasamehewa zambi zakomadhara ya kuchanganya siasa na dini ndio haya sasa atajibu kwa waumini wa kikristo ni haki kuhalalisha mauaji
Aksante kwa kuliona hili, una akili kubwa, wabunge wengi wanamdhiaki Magu na serikali yake bila yeye kujuaHuyu obvious atakuwa ameongea akiwa upande wa Zitto, ila tulio wengi hatuwezi kuliona hilo. Ukitaka walio wengi wasijue rafiki zako ni wapi, jifanye kuwa adui wa rafiki zako! Ndiyo principal iliyotumika hapa!