Video: Mchungaji Mama Rwakatare akishangilia wito wa kuuawa “msaliti Zitto” uliotolewa na Bulembo



Msukuma mtabiri! Edelea kututabiria na kwa wengine mkuu
 
Aqua, ulitumia nguvu nyingi kutetea ujinga wako. Halafu unabishana na wabobezi kama Pascal Mayalla !! haya njoo uandike tena utumbo wako
 
Ndugali na murembo wawahi kuomba msamaha kwa zitto kabwe kabla mizimu yake haijasara kama ilivyomsalia mchungaji
 
Mmh
 
Hakuna binadamu aliyekamili, tumuachie Mungu kwenye hili.
Tushukuru kwa maisha yake hapa Duniani kuna mazuri pia amefanya tuyahubiri pia humu jamii forum
 
Kumbe mambo yalianzia huku hivi kwanza unaanzaje kuongea maneno mabaya kwa Zitto labda na wewe uwe mzito kama Zitto mwenyewe.
 
hivi huyu bulembo na zitto si mtu na mkwewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…