Video: Mchungaji Mama Rwakatare akishangilia wito wa kuuawa “msaliti Zitto” uliotolewa na Bulembo

Video: Mchungaji Mama Rwakatare akishangilia wito wa kuuawa “msaliti Zitto” uliotolewa na Bulembo

Wamuongeze kwenye list kwanza.
Sikubaliani na Msimamo wa Zitto Kabwe kwa asilimia zote , ila vitisho vya kuuana hapana

Bulembo kakosea sana sana sana

Hii record inaweza kumpeleka The Hague kimasihara.masihara yakitokea madhara kwa Zitto

Angekuwa ANATAFAKARI, Bulembo angerejea mahakama ya Kimataifa ya mauaji ya Kimbar Arusha


Augustine Pinochet wa Chile, Slobadan Milosovic wa Yugoslavia moja ya mambo yaliyowagharimu ni 'ndimi' zao

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pelekeni sadaka ajenge ghorofa nyingine
Mimi huwa nawatafakari watu wanaosali makanisa ya Aina hii...nswaogopa!Hivi mnikumbushe Kuna kitu nakumbuka kwa mbali ila kinatoka au niliota!
Hivi di kulikuwa na habari ya huyu Mama Rwakwatare ili trend ...alipoonekana akicheza mchezo fulani wakuvingirishana...Kama mieleka na Mrembo mmoja hivi!
 
Mimi huwa nawatafakari watu wanaosali makanisa ya Aina hii...nswaogopa!Hivi mnikumbushe Kuna kitu nakumbuka kwa mbali ila kinatoka au niliota!
Hivi di kulikuwa na habari ya huyu Mama Rwakwatare ili trend ...alipoonekana akicheza mchezo fulani wakuvingirishana...Kama mieleka na Mrembo mmoja hivi!
Sio hayo makanisa peke yake .
Yapo hata yale makongwe yenye viongozi waliojaa ubinafsi na ukada uliopitiliza mfano Pengo kusema kuwa Paulo anafaa kumrithi mkuu wa awamu Hii. Hana tofauti na Huyo mama Rwaka. Wote wanatamani kuona damu za wapinzani wa wazalendo feki zikimwagwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kweli inabidi kama kuna wauaji wachangiwe tu pesa na hawa wabunge wa CCM maana kujenga hoja hawawezi tena. Zitto kaandika barua katoa hoja zimeeleweka na World Bank na nyie jibuni basi mpangue hoja zake, mnashindwa nini? Mnakimbilia kuua ua tu kama mlivyotaka kumfanya Lissu

So pathetic mnadhani ni Zitto peke yake, kulikuwa na pettition online ya hilo suala na World Bank walikuwa tagged. Ili kuwa na sigantures zaidi ya 10,000 mimi mwenyewe niliandika emails, world bank ilikuwa flooded na emails zikilalamika udikteta wa awamu ya tano.

Endeleeni kulala tu maana mmejaza vilaza kwenye hilo chama chakavu.

Mwisho HONGERA sana mama mchungaji nimeona unakenuaaaaa uliposikia WITO WA ZITTO KABWE KUUULIWA no wonder wanasemaga ulizika makondoo hai kwenye geti la St. Mary's school na kanisani kwako FULL MAKAFARA ya damu.


Known marekani mwenyewe wasaliti huwa anawapoteza.
 
Mimi huwa nawatafakari watu wanaosali makanisa ya Aina hii...nswaogopa!Hivi mnikumbushe Kuna kitu nakumbuka kwa mbali ila kinatoka au niliota!
Hivi di kulikuwa na habari ya huyu Mama Rwakwatare ili trend ...alipoonekana akicheza mchezo fulani wakuvingirishana...Kama mieleka na Mrembo mmoja hivi!
Aliviringishana na nani mkuu?Pekua kumbukumbu tuendelee kuwafahamu vizuri viongozi wetu.Hatari sana
 
Lwakatare is a bufoon.

Lakini, kwa nini aliyeshangilia habari za Zitto msaliti kuuawa anakuwa habari kubwa kuliko aliyesema habari za Zitto msaliti kuuawa?

Sent using Jamii Forums mobile app
Hatumshangai Bulembo maana huenda keshaua kadhaa! Tunamshangaa mcunga kondoo kushangilia mauaji! Inashangaza sana kufikia hatua ya kutangaza na kushangilia mauaji kweupe.
 
Hatumshangai Bulembo maana huenda keshaua kadhaa! Tunamshangaa mcunga kondoo kushangilia mauaji! Inashangaza sana kufikia hatua ya kutangaza na kushangilia mauaji kweupe.
Mimi tangu zamani nilishajitoa katika ujinga wa kumuamini mtu kwa sababu ni kiongozi wa dini.

Hivyo simshangai, nawashangaa mnavyomshangaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwenye hii video clip chini ni Askofu Dr Mama Lwakatare akipiga makofi kuonyesha kukubaliana na Mbunge (simfahamu) aliyekuwa anasema kuwa MTU akitoa mambo ya TANZANIA nje ya nchi auwawe! Na katika case hii Zitto akatajwa kabisa kwa jina.

Huyu Askofu alipiga makofi kuonyesha kukubaliana na maoni/mtazamo/msimamo wa Mbunge huyu! Je NTU huyu kesho atamuongoza nani sala ya toba kama sio kumtania Mungu?

I stand to be corrected



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom