Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Kaachwa??Mwache ajiliwaze Kuachwa na mke sio Jambo dogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaachwa??Mwache ajiliwaze Kuachwa na mke sio Jambo dogo
Aiseeee, Sasa Yesu alikuja duniani kufanya nini?Nae pia anadhambi.
Mhubiri 7:20
Bila shaka hakuna mwanadamu mwenye haki hapa duniani, atendaye mema pasipo kutenda dhambi.
Kumuokoa kila mtu hata yeyeAiseeee, Sasa Yesu alikuja duniani kufanya nini?
Una uhakika?Kumuokoa kila mtu hata yeye
Swali zuri sana hiliAiseeee, Sasa Yesu alikuja duniani kufanya nini?
Huyu jamaa kweli mchungaji, anaacha kubambia totoz, yeye anapiga makofi kama wanaimba mapambio.Mchungaji Mc Pilipili ameonekana akiwa Club na watu maarufu wakiwa wanakula bata.
View attachment 2880386
Nini maoni yako?
Maoni, Apande juu ya meza asiishie hapo tu mpaka juu ya Madhaahu awake haswa.Mchungaji Mc Pilipili ameonekana akiwa Club na watu maarufu wakiwa wanakula bata.
View attachment 2880386
Nini maoni yako?
Kwani ni wapi kwenye bible pole imekatazwaMchungaji Mc Pilipili ameonekana akiwa Club na watu maarufu wakiwa wanakula bata.
View attachment 2880386
Nini maoni yako?
Acha jamaa afurahie maisha ...Ila Manara ana 50 sasa hivi angetulia azeeke kwa heshima
Mhhh,,,,Swali zuri sana hili
Jibu: KUOKOA KILICHOPOTEA
Wako na ManaraMchungaji Mc Pilipili ameonekana akiwa Club na watu maarufu wakiwa wanakula bata.
Mchungaji wa nini?Mchungaji Mc Pilipili ameonekana akiwa Club na watu maarufu wakiwa wanakula bata.
View attachment 2880386
Nini maoni yako?
Bongo hakuna heshima mkuu. Tena ukijifanya mtu wa heshima unakufa njaa. Manara bila kujitoa ufahamu angekufa njaa. Bongo watu wa hovyo hovyo ndiyo wanaitwa eti watu maarufu na wanatumiwa na watawala kupumbaza wananchi. Ona kina Makonda, marehemu Le Mutuz, Mwamposya etc... Ni kuwa wananchi hatujitambui...Ila Manara ana 50 sasa hivi angetulia azeeke kwa heshima
Nn?Duuu.......
Eeeh kumbe? Bas hakuna Nuru ni giza tyuuh.Nuru na giza kamwe havichanganywi