cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mara ya kwanza kuangalia video nilijua Manara ni Gamond...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mara ya kwanza kuangalia video nilijua Manara ni Gamond...
Yes ndio yeyeMke yupi? Yule aliyelia wakati kapiga goti akimvisha pete?
Dogo Ana stress Debe alitoshi na Koblokiwa juu! Anauguza Maumivu kwa sasaPilipili kaachwa? Lini hiyo
Anashindana na madogo wanaobalehe. Mzee mzima kuchambana na kila Dula insta sio sawaIla Manara ana 50 sasa hivi angetulia azeeke kwa heshima
Ni mchungaji wa kundi gani?Mchungaji Mc Pilipili
Shida hapendi kushindwa yani ana hulka za ajabu sana huyo baba...ndo maana ndoa zinamshinda...Anashindana na madogo wanaobalehe. Mzee mzima kuchambana na kila Dula insta sio sawa
Hayo maisha yanampa stress na huo ndo ukweli...hakuna maisha hapo..yani kwa sasa atakua na tress kuliko alivyokua singo maana hapo ameolea jamii ya insta..na wanamsubiri amess up wamzodoe...
Raha unatakiwa kujipa mwenyewe, tena hilo 'ua' kuwa nalo karibu litampunguzia stress.Hayo maisha yanampa stress na huo ndo ukweli...hakuna maisha hapo..yani kwa sasa atakua na tress kuliko alivyokua singo maana hapo ameolea jamii ya insta..na wanamsubiri amess up wamzodoe...
Mimi kutaniana na manara swezi maana najijuaaMchungaji Mc Pilipili ameonekana akiwa Club na watu maarufu wakiwa wanakula bata.
View attachment 2880386
Nini maoni yako?
manara kacharuka kama msichana wa 22 yrs...sijui why..ila at that age am sure anaenjoy sana sex aise....anaiskilizia kithogoni..Ila Manara ana 50 sasa hivi angetulia azeeke kwa heshima
ile angle haikua poa....alikua na mshangazi madame ritha....asingeweza mbambia maaunt rich hua hawabambiwiHuyu jamaa kweli mchungaji, anaacha kubambia totoz, yeye anapiga makofi kama wanaimba mapambio.
zile ni kick bwana..si wanasema mkewe ni 🤰Dogo Ana stress Debe alitoshi na Koblokiwa juu! Anauguza Maumivu kwa sasa
Duuh kumbe wazee ndo wanaenjoy eeemanara kacharuka kama msichana wa 22 yrs...sijui why..ila at that age am sure anaenjoy sana sex aise....anaiskilizia kithogoni..
sana....sanaDuuh kumbe wazee ndo wanaenjoy eee
Haya mabraza wa mujini...yetu machoo👀👀Raha unatakiwa kujipa mwenyewe, tena hilo 'ua' kuwa nalo karibu litampunguzia stress.
Na Wanahitaji kupariiiiiii na kurefresh mind pia🤠!