Video: Mchungaji Pilipili akiwa Club

Hahaha! Ni Mchungaji wa kondoo wa bwana.
Anhaa, sasa kama anawachunga kondoo mbona kawaida sana hiyo kujirusha, mchungaji wetu wa mifugo wa Kimasai, mara anajisahau utamkuta bar na kondoo na mbuzi kawawachia wajichunge wenyewe.

Sioni ajabu hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…