Equation x JF-Expert Member Joined Sep 3, 2017 Posts 33,679 Reaction score 49,841 Jan 24, 2024 #61 Mtasema anakula sadaka 😀
FaizaFoxy Platinum Member Joined Apr 13, 2011 Posts 100,246 Reaction score 123,145 Jan 24, 2024 #62 Mjanja M1 said: Hahaha! Ni Mchungaji wa kondoo wa bwana. Click to expand... Anhaa, sasa kama anawachunga kondoo mbona kawaida sana hiyo kujirusha, mchungaji wetu wa mifugo wa Kimasai, mara anajisahau utamkuta bar na kondoo na mbuzi kawawachia wajichunge wenyewe. Sioni ajabu hapo.
Mjanja M1 said: Hahaha! Ni Mchungaji wa kondoo wa bwana. Click to expand... Anhaa, sasa kama anawachunga kondoo mbona kawaida sana hiyo kujirusha, mchungaji wetu wa mifugo wa Kimasai, mara anajisahau utamkuta bar na kondoo na mbuzi kawawachia wajichunge wenyewe. Sioni ajabu hapo.
Dr hyperkid JF-Expert Member Joined Jun 7, 2019 Posts 12,679 Reaction score 25,646 Jan 24, 2024 #63 cocastic said: Yeye binadamu wa kawaida akiwa nje ya madhahabu. Sio mbaya. Click to expand... binadamu wa kawaida ni wanamna gani labda
cocastic said: Yeye binadamu wa kawaida akiwa nje ya madhahabu. Sio mbaya. Click to expand... binadamu wa kawaida ni wanamna gani labda