DOKEZO Video: Mdada wa Kinondoni aliyeenda kufanya kazi za ndani Iraq afichiwa passport na mwajiriwa wake. Anyimwa chakula na kupitia mateso

DOKEZO Video: Mdada wa Kinondoni aliyeenda kufanya kazi za ndani Iraq afichiwa passport na mwajiriwa wake. Anyimwa chakula na kupitia mateso

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kujikuta matatani kwa wadada wa kazi inaweza kutokea hata ndani ya nchi Cha msingi wahanga kutafuta mbinu ya kufikisha taarifa kuomba msaada, maisha popote.
 
Wakuu,

Mtanzania mwenye umri wa miaka 33, Fatma Nassoro anapitia mateso makubwa akiwa nchini Iraq, ambako alienda kufanya kazi tangu mwaka 2022. Fatma amesema amekuwa akiishi katika mazingira magumu chini ya mwajiri wake, huku akinyimwa chakula, kupigwa mara kwa mara, kutukanwa, kubezwa, na hata kutemewa mate.

Juhudi zake za kutaka kurejea nyumbani zimegonga mwamba baada ya mwajiri wake kuficha pasipoti yake, akimzuia kuondoka. Mwaka jana, Fatma alipata msiba mzito baada ya kufiwa na mtoto wake, lakini alinyimwa ruhusa ya kurudi Tanzania kuhudhuria mazishi.

Kwa sasa, hali imezidi kuwa ngumu, huku afya ya mama yake ikiwa dhoofu, lakini bado ameshindwa kurudi kumwona. Fatma anasema Iraq haina ubalozi wa Tanzania, hali iliyomwacha bila msaada wa karibu wa kisheria au ulinzi.

Amebainisha kuwa anawasiliana kwa siri kupitia namba ya jirani wakati mwajiri wake hayupo, akitafuta msaada wa kurejea nyumbani. Fatma anatoa wito kwa mamlaka za Tanzania na mashirika ya haki za binadamu kumsaidia kurejea salama na kumaliza mateso anayopitia.

Pole yake.
Ila huwa wanasema kuwa ni ndugu zao kiimani. Hapo tayari ashadungwa sumu za kuua kizazi azizae huko pamoja na kuliwa kiboga.
Samaleko.
 
Acha chuki na wale wanaoteswa hapa hapa bongo na wakinamama waliokosa malezi hao ni waarabu nao.
Huyo bahati mbaya tu kaangukia kwenye sufuria la uji.
Tabia hazina uhusiano na race
Au siyo mwarabu wa Kipati hapo Mbajala,hujui bora kuteseka ukiwa kwenu kuliko kuteseka ukiwa ugenini?

Ngoja siku yamkute ndugu yako maana ninyi wabishi kama hivi ndiyo always mnashindwa kuwashauri ndugu zenu sehemu za kwenda na sehemu zisizofaa kwenda,uzuri na ubaya unawaandika kwa wema wakati wao wanakuona nyani tu.
 
Tanzania kuna ardhi kubwa sana ya kulima, kuna fursa kibao lakini bado wengi ni malimbukine kukimbilia nje wakidhani kuna maisha mazuri.
SIONDOKI TZ
 
Hii ndio sababu nawachukia Waarabu. Hao mbwa ni uncivilized na wanaishi kama wanyama, wana akili ndogo na ukatili ndio lugha yao. Na hawa vichwa maji wala hawasikii wakiambiwa wasiende huko.

Kuwa Muislamu hakuwafanyi hao wajinga kuwa ndugu zako na vice versa. Na hii ni kwa dini zote, hakuna exception.

Alafu mtu unaendaje Iraq aisee? Ni bora upitilize kabisa uende motoni tu.
 
Na ni ndugu zake katika imaani...

Namuombea arudi salama Tanzania.
Ndugu zake katika "Imaaan"????? Ndugu zake nani? Wewe unaona waarabu ni ndugu zako wale? Uliona wapi ndugu wanafanyiana ukatili? Au ndivyo mnavyoishi hapo kwa baba yako? Acha kuandika upuuzi wewe!

Mambo mengine ni ya ajabu mpaka hujui ukasirike au ucheke! Mental domination with religions imefanya kazi. What a fuking plan!
 
Back
Top Bottom