Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Wagombea wa CCM hakika hawaishi vituko, leo huko kwenye kampeini kuna mgombea Ubunge katoa ya mwaka.
Ebu msikikize jamani, huyu ndiyo aingie bungeni achambue mikataba ya wawekezaji kweli? Au ndiyo wale wa kukubaliana na kuka hoja kwa100%.
Watanzania tusifanye kosa kuwapigia kura watu kama hawa ni hatari kwa taifa letu.
Ebu msikikize jamani, huyu ndiyo aingie bungeni achambue mikataba ya wawekezaji kweli? Au ndiyo wale wa kukubaliana na kuka hoja kwa100%.
Watanzania tusifanye kosa kuwapigia kura watu kama hawa ni hatari kwa taifa letu.