Uchaguzi 2020 Video: Mgombea CCM ashindwa kutofautisha jinsi yake

Uchaguzi 2020 Video: Mgombea CCM ashindwa kutofautisha jinsi yake

CCM vilaza ni wengi, aliekuwa spika wao ambae Pia ni kilaza,aliwai sema wao hawajali hoja bali wanapeleka vilaza wengi bungeni WA kupitisha utopolo wao, yani maccm ni janga la taifa.
Ukisikia vilaza na viwonda ndio hivi
 
ILA KUWATUKANA WATUMISHI WA UMA NI TAKAKA ZA JALALANI. SIOKUTUKANA KWA MJIBU WA KIKUNDI CHENU
Hakuna aliye tukana, hilo neno la kuokotwa JALALANI alijisema mwenyewe Kabudi tena mbele ya kadamnasi.

Leo hii mnajufanya kubadili gia angani ili kutafuta huruma za wananchi ili mpigiwe kura?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna aliye tukana, hilo neno la kuokotwa JALALANI alijisema mwenyewe Kabudi tena mbele ya kadamnasi.

Leo hii mnajufanya kubadili gia angani ili kutafuta huruma za wananchi ili mpigiwe kura?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiwanda chenu chamatusi kililipayuka kwenye mkotano wa kampeni ya kikundi chenu pale mbeya mjini. Wala hakumtaja huyo unayemtuhumu. Alitaja watumishi wa uma kwa ujumlaa. Usihamishe magoli.
 
Inawezekana mkuu maana kwenye chama chao wana mambo mengi sana ya nyuma ya pazia

Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums1910072608.jpg


Jr[emoji769]
 
Fomu yake ya ugombea haikuwa na kosa hata moja kweli?
 
Kiwanda chenu chamatusi kililipayuka kwenye mkotano wa kampeni ya kikundi chenu pale mbeya mjini. Wala hakumtaja huyo unayemtuhumu. Alitaja watumishi wa uma kwa ujumlaa. Usihamishe magoli.
Tatizo ndiyo kwanza unaanza kufuatilia mambo ya siasa hapa Tanzania, naona ndiyo umeingia juzi na Nyahunge kutokea koromitdje

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema baada ya kila kiki mnayookotesa kubuma, sasa mumebakia kuwa wambea wambea hadi mnatia hurumaa. Hii kiki hata ukiiisambaza zaidi nikutusaidia kuonesha mafuliko ya Jpm.
Rudi darasani ukajifunze kusoma na kuandika,kwa mujibu wa NEC kama ungekuwa mgombea ungeenguliwa maana hujui matumizi ya R na L!Ni mafuriko sio mafuliko!
Ukiachana na hilo,umeandika upuuzi mtupu!
 
Rudi darasani ukajifunze kusoma na kuandika,kwa mujibu wa NEC kama ungekuwa mgombea ungeenguliwa maana hujui matumizi ya R na L!Ni mafuriko sio mafuliko!
Ukiachana na hilo,umeandika upuuzi mtupu!
Mpaka kunikosoa, umenielewaaa.
Matusi nayo ndo ilani ya uchaguzi ya kikundi chenu. Endeleeni kutukana hamna shidaaa.
 
Back
Top Bottom