Mbona mwenyekiti wao magufuli ni msomi sana,CCM vilaza ni wengi, aliekuwa spika wao ambae Pia ni kilaza,aliwai sema wao hawajali hoja bali wanapeleka vilaza wengi bungeni WA kupitisha utopolo wao, yani maccm ni janga la taifa.
Ndio maana wanapitishwa bila kupingwa!! Maana kuomba kura sio mchezo haswa kwa wapiga vigelegele
Mbona mwenyekiti wao magufuli ni msomi sana,
Tena kubwaaaChakushangaza eti kaweza kujaza fomu!! CCM ni laana!!
Ndiyo maana walikimbilia kukata rufaaa baada ya hukumu ya kuwaengua wakurugenzi kuwa wasimamizi wa uchaguzi.Sasa unaambiwa huyo kajaza form yake vizuri, ila wapinzani ndio wanakoseaga hahahahaha daaah hii nchi Mungu atusaidie..
Kina Jah Peple ndiyo wabunge pendwa!Hao ndio CCM hua inawahitaji bingeni dizaini Musukuma, Lusinde hao ndio machampioni wa CCM