Akili zako zinavuja sehemuChadema baada ya kila kiki mnayookotesa kubuma, sasa mumebakia kuwa wambea wambea hadi mnatia hurumaa. Hii kiki hata ukiiisambaza zaidi nikutusaidia kuonesha mafuliko ya Jpm.
Kwa matusi hiii ilani mnaiweza mkishilikiana na kile kiwanda chenu cha matusi.
Kichaka cha matusi ni lumumbaKwa matusi hiii ilani mnaiweza mkishilikiana na kile kiwanda chenu cha matusi.
Ukisikia vilaza na viwonda ndio hiviCCM vilaza ni wengi, aliekuwa spika wao ambae Pia ni kilaza,aliwai sema wao hawajali hoja bali wanapeleka vilaza wengi bungeni WA kupitisha utopolo wao, yani maccm ni janga la taifa.
ILA KUWATUKANA WATUMISHI WA UMA NI TAKAKA ZA JALALANI. SIOKUTUKANA KWA MJIBU WA KIKUNDI CHENU
Hakuna aliye tukana, hilo neno la kuokotwa JALALANI alijisema mwenyewe Kabudi tena mbele ya kadamnasi.ILA KUWATUKANA WATUMISHI WA UMA NI TAKAKA ZA JALALANI. SIOKUTUKANA KWA MJIBU WA KIKUNDI CHENU
Inawezekana mkuu maana kwenye chama chao wana mambo mengi sana ya nyuma ya paziaHuyu inawezekana kabisa anazo zote mbili
Jr[emoji769]
Kiwanda chenu chamatusi kililipayuka kwenye mkotano wa kampeni ya kikundi chenu pale mbeya mjini. Wala hakumtaja huyo unayemtuhumu. Alitaja watumishi wa uma kwa ujumlaa. Usihamishe magoli.Hakuna aliye tukana, hilo neno la kuokotwa JALALANI alijisema mwenyewe Kabudi tena mbele ya kadamnasi.
Leo hii mnajufanya kubadili gia angani ili kutafuta huruma za wananchi ili mpigiwe kura?
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana mkuu maana kwenye chama chao wana mambo mengi sana ya nyuma ya pazia
Sent using Jamii Forums mobile app
Chama cha mapuuza
Tatizo ndiyo kwanza unaanza kufuatilia mambo ya siasa hapa Tanzania, naona ndiyo umeingia juzi na Nyahunge kutokea koromitdjeKiwanda chenu chamatusi kililipayuka kwenye mkotano wa kampeni ya kikundi chenu pale mbeya mjini. Wala hakumtaja huyo unayemtuhumu. Alitaja watumishi wa uma kwa ujumlaa. Usihamishe magoli.
Baada ya kuanza kufuatilia siasa, ndonikagundua mgombea wenu nikiwanda cha matusi. Nakulazimisha uraisi apewe kwa huruma kama kifuta machozi.Tatizo ndiyo kwanza unaanza kufuatilia mambo ya siasa hapa Tanzania, naona ndiyo umeingia juzi na Nyahunge kutokea koromitdje
Sent using Jamii Forums mobile app
Rudi darasani ukajifunze kusoma na kuandika,kwa mujibu wa NEC kama ungekuwa mgombea ungeenguliwa maana hujui matumizi ya R na L!Ni mafuriko sio mafuliko!Chadema baada ya kila kiki mnayookotesa kubuma, sasa mumebakia kuwa wambea wambea hadi mnatia hurumaa. Hii kiki hata ukiiisambaza zaidi nikutusaidia kuonesha mafuliko ya Jpm.
Mkishilikiana=mkishirikiana!Kwa matusi hiii ilani mnaiweza mkishilikiana na kile kiwanda chenu cha matusi.
Mpaka kunikosoa, umenielewaaa.Rudi darasani ukajifunze kusoma na kuandika,kwa mujibu wa NEC kama ungekuwa mgombea ungeenguliwa maana hujui matumizi ya R na L!Ni mafuriko sio mafuliko!
Ukiachana na hilo,umeandika upuuzi mtupu!
Nasikia na wewe ulishiriki kumshambulia mh Lissu?Baada ya kuanza kufuatilia siasa, ndonikagundua mgombea wenu nikiwanda cha matusi. Nakulazimisha uraisi apewe kwa huruma kama kifuta machozi.
Watanzania sio mazwazwa.
Huyo katoka juzi koromitdjeMkishilikiana=mkishirikiana!
Huna sifa za kugombea hata udiwani sababu ya ile sifa ya kujua kusoma na kuandika!