Pre GE2025 Video: Miraji Mtaturu, Mbunge wa Singida Mashariki Akataliwa kwa kuzomewa na wananchi

Pre GE2025 Video: Miraji Mtaturu, Mbunge wa Singida Mashariki Akataliwa kwa kuzomewa na wananchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Miaka michache ijayo watakaokua viongozi watakua na wakati mgumu sana kuongoza kama watataka kuongoza kwa mazoea na kujisahau.Watu wanazidi kujitambua kila siku uku viongozi wakiwa wamepigwa upofu hawaoni hayo mabadiliko.
 
Miaka michache ijayo watakaokua viongozi watakua na wakati mgumu sana kuongoza kama watataka kuongoza kwa mazoea na kujisahau.Watu wanazidi kujitambua kila siku uku viongozi wakiwa wamepigwa upofu hawaoni hayo mabadiliko.
Hii baada ya lissu kusambaza elimu ya uaia huko jimboni.
 
Kwa niaba ya wakaazi wa Kata za Ikungi, Dung’unyi, Kikio, Misughaa, Issuna, Mango’onyi, Ntutu, Mkiwa , Makiungu Mungaa pamoja na vitongovi vyote ikiwemo Unyanghumpi , Ulyampiti na Mkunguwakihendo
HATUMTAMBUI HUYO MBUNGE
Kwa niaba ya Wakazi wa Londoni, Sambaru, Kwa Yusuph , Banda Saba, Taru, Banda Mbili , Banda Tatu, Kinyamberu, Mighunga, Mang’onyi, CCM mnadani, Mlumbi, Mwau, Hanje, Mahambe, Matare, Ntewa na Mampando TUNAMTAMBUA MTATURU kama Mbunge wetu.
 
Back
Top Bottom