Pre GE2025 Video: Miraji Mtaturu, Mbunge wa Singida Mashariki Akataliwa kwa kuzomewa na wananchi

Pre GE2025 Video: Miraji Mtaturu, Mbunge wa Singida Mashariki Akataliwa kwa kuzomewa na wananchi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Watu inategemea na idadi, CCM Ina wanachama wengi kuliko vyama vingine vya siasa. Hiyo takwimu Iko wazi na unaweza kufuatilia.
Ina wanachama wengi, lakini kubaki madarakani kwa shuruti inategemea mbeleko ya vyombo vya dola, na wahesabu kura.
 
Kwa niaba ya wakaazi wa Kata za Ikungi, Dung’unyi, Kikio, Misughaa, Issuna, Mango’onyi, Ntutu, Mkiwa , Makiungu Mungaa pamoja na vitongovi vyote ikiwemo Unyanghumpi , Ulyampiti na Mkunguwakihendo
HATUMTAMBUI HUYO MBUNGE
Kwanini
 
Kuna mwaka opponent wa wa TL alidai kuibiwa kura na TL, nilikuwa mdogo bado ila hiki kitu kilinichekesha. 😂
 
Back
Top Bottom