Video: Moja ya shule zilizojengwa kwa tozo, foreign reserve trilioni 1.3 na pesa za UVIKO

Hapo kwa vyovyote vile kutakuwa na uviko-19.
 
Tra imeshindwa kukusanya kodi mpaka tunachota fedha kwenye foreign reserve??

Waziri anaendelea kufanya nini ofisini??

Kwanini Baraza la Mawaziri lisivunjwe kwa kushindwa kumshauri Rais vizuri??
 
Tra imeshindwa kukusanya kodi mpaka tunachota fedha kwenye foreign reserve??

Waziri anaendelea kufanya nini ofisini??

Kwanini Baraza la Mawaziri lisivunjwe kwa kushindwa kumshauri Rais vizuri??
Mama anampenda waziri wa pesa
 
Hii awamu ikiisha watu watashika vichwa, maana patakuwa na upigaji mkubwa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…