Wizi mtupu, nchi hii aliweza tu Magufuli,wizi umerudi kwa kasi
Hata yeye alikuwa mwizi tu.Wizi mtupu, nchi hii aliweza tu Magufuli,wizi umerudi kwa kasi
USSR
P shikamoh hivi kwanini huwa hutii neno kwenye Mambo yanayohitaji neno lako Kama haya?Duh...!.
P
Hivi na wewe unataka kuunganishwa na yule mwalim eeh? Sema basi.
Alishasema yeye ni kada, nafsi itamsuta.P shikamoh hivi kwanini huwa hutii neno kwenye Mambo yanayohitaji neno lako Kama haya?
Usimuingize majaribuni,hiyo duh,inatosha.P shikamoh hivi kwanini huwa hutii neno kwenye Mambo yanayohitaji neno lako Kama haya?
Labda chawaP shikamoh hivi kwanini huwa hutii neno kwenye Mambo yanayohitaji neno lako Kama haya?
Wizi mtupu, nchi hii aliweza tu Magufuli,wizi umerudi kwa kasi
USSR