Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa maslahi mapana ya taifaDuh...!.
P
Hewa zipo zenye faida. Bora hata Magu alikuwa oxygen kuliko hawa ni co2, yaani wanaharibu hadi mapafu!Hata yeye alikuwa mwizi tu.
Ccm karibu wote ni hewa tu
HujanishawishiHewa zipo zenye faida. Bora hata Magu alikuwa oxygen kuliko hawa ni co2, yaani wanaharibu hadi mapafu!
Sifa nyiingi, uozo kila mahali!
Mchwa!Wizi mtupu, nchi hii aliweza tu Magufuli,wizi umerudi kwa kasi
USSR
Hii awamu ikiisha watu watashika vichwa, maana patakuwa na upigaji mkubwa sana
Acheni hizo,eti aliuweza jiwe,zile ripoti za CAG mbona kila mwaka zilikuwa zikionyesha upigaji tu?!!alichofanikiwa ni kuufichq tu usiwekwe wazi.Ngoja ripoti hiyo ya zile pesa za watuhumiwa wa uhujumu uchumi itoke mwezi ujao ndipo utajua kuwa toka tupate uhuru hakuna kipindi pesa imeibiwa kama kwenye awamu yake.MUNGU FUNDIWizi mtupu, nchi hii aliweza tu Magufuli,wizi umerudi kwa kasi
USSR
Na hii ni 2023!
Unajua mkuu wewe unajicho la kuona mbali tatizo ulishadeclear interest kuwa ni kada shida ya ukada unafungwa mdomo na miguu hata sisi tulikuwa makada lakini tukaona ukikaa machioni lazima utoke na tone la damu Rudi bwana kwenye ule ufree wako tupate data murwaaDuh...!.
P
Mwigulu?Na hii ni 2023!
Nchi hii imepata uhuru wake tokea 1961.
Tunao mawaziri wapo kwenye magari ya viyoyozi yenye thamani karibu na bilioni moja, hela ya madafu!
Kinachosikitisha zaidi ni kwamba sio kama nchi hii haina uwezo wa kuwapatia hawa watoto mazingira mazuri ya kujifunzia, kwa sababu uwezo huo upo sana!
Tunao viongozi wa hovyo sana nchi hii.
Mungu atende muujiza na awatie nguvu, nilishapitia mazingira kama haya miaka ya 90s
That's it!I knew that's all you had to say.Ingekuwa ni Uzi unahusu Tundu Lissu au ukomo wa uongozi Chadema ungekuja na Maelezo mareeeeefu, page kadhaa,viapo kibao kuwa huo ndio ukweli wenyewe kwakuwa wewe ni mtu mkweli sana,ukijaribu kupotosha reality.Nasema huwa unajaribu kupotosha kwakuwa haufanikiwi na watu walishajua rangi Yako halisi.Duh...!.
P