Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You are brain washed my br. Je wajua dawa nyingi utafiti wake huanzia kwenye mimea? Je wajua wazungu ndio watumiaji wengi wa Chinese traditional medicines? Nenda ulaya na America unakoona ndio wastaarabu uone chinese medicines zinavyouzwa.Hii nchi kwa hali inayoendelea nayo ni vema wananchi tukaongeza maombi
Uraya ndiyo wapi chief?You are brain washed my br. Je wajua dawa nyingi utafiti wake huanzia kwenye mimea? Je wajua wazungu ndio watumiaji wengi wa Chinese traditional medicines? Nenda uraya na America unakoona ndio wastaarabu uone chinese medicines zinavyouzwa.
You are not exposed or most particulary elimu ya kuunga unga
Lengo ni kumfurahisha mzee ili apitishwe kugombea ubunge 2020, subiri uone kama Ndugulile kama atapitishwa na mwenyekitiHii nchi kwa hali inayoendelea nayo ni vema wananchi tukaongeza maombi
Akili za mabeberu zimekuathiri,hujui miti shamba Ni tiba mbadala,hujui kabla ya ukoloni hatukuwa na madawa ya kisasa,hujui hospitali katika mkoa/wilaya zilikuwa SI chini ya mbili,hujui barabara na magari hayakuwepo,hujui simu au technolojia ya mawasiliano haikuwepo,hata wewe habari ya korona isingekufikia,kwa hayo yote wazee wetu waliishije,nenda Arusha mitishamba imejaa mitaani wamasai wanauza,Ni mkoa gani usiouza mitishamba Kama dawa,nenda misikitini ukaone mikarafuu inavouzwa,mababu zetu waliishije?,pumbaza akili ako sio Kama yangu kwanza bado Kuna debate ya kutukuza uafrika na kudharau ukoloni mamboleoHii nchi kwa hali inayoendelea nayo ni vema wananchi tukaongeza maombi
😆😆😆😆 sasa mkuu hapo mimi kukupa tu taarifa ndio kosa langu ?Akili za mabeberu zimekuathiri,hujui miti shamba Ni tiba mbadala,hujui kabla ya ukoloni hatukuwa na madawa ya kisasa,hujui hospitali katika mkoa/wilaya zilikuwa SI chini ya mbili,hujui barabara na magari hayakuwepo,hujui simu au technolojia ya mawasiliano haikuwepo,hata wewe habari ya korona isingekufikia,kwa hayo yote wazee wetu waliishije,nenda Arusha mitishamba imejaa mitaani wamasai wanauza,Ni mkoa gani usiouza mitishamba Kama dawa,nenda misikitini ukaone mikarafuu inavouzwa,mababu zetu waliishije?,pumbaza akili ako sio Kama yangu kwanza bado Kuna debate ya kutukuza uafrika na kudharau ukoloni mamboleo
Anajifukiza ili aseme aliugua sasa amepona! I wish Charlie Chaplin were alive today to make more silent films.Hii nchi kwa hali inayoendelea nayo ni vema wananchi tukaongeza maombi
Uraya ndiyo nchi gani mkuu??You are brain washed my br. Je wajua dawa nyingi utafiti wake huanzia kwenye mimea? Je wajua wazungu ndio watumiaji wengi wa Chinese traditional medicines? Nenda uraya na America unakoona ndio wastaarabu uone chinese medicines zinavyouzwa.
You are not exposed or most particulary elimu ya kuunga unga
Ziko makalio ni kwako.
Ahahahahaha itamke in Nshomile's voice
Mama ako amepata buzi huoni sasa hivi mnabadirisha mboga unaulizia bln 8 ziko wapi
Aiseee !!Huyu Mwakyembe ni myakyusa wa Kyela ndio maana anajipendekeza pendekeza kwa JIWE; angekuwa mnyakyusa asili wa TUKUYU asingefanya upuuzi huo!!! Wanyakyusa wa Tukuyu wamejimbua.