Video: Msomi Mwakyembe ajifukiza majani ambayo hayajathibitishwa na yeyote kutibu chochote

Video: Msomi Mwakyembe ajifukiza majani ambayo hayajathibitishwa na yeyote kutibu chochote

Akili za mabeberu zimekuathiri,hujui miti shamba Ni tiba mbadala,hujui kabla ya ukoloni hatukuwa na madawa ya kisasa,hujui hospitali katika mkoa/wilaya zilikuwa SI chini ya mbili,hujui barabara na magari hayakuwepo,hujui simu au technolojia ya mawasiliano haikuwepo,hata wewe habari ya korona isingekufikia,kwa hayo yote wazee wetu waliishije,nenda Arusha mitishamba imejaa mitaani wamasai wanauza,Ni mkoa gani usiouza mitishamba Kama dawa,nenda misikitini ukaone mikarafuu inavouzwa,mababu zetu waliishije?,pumbaza akili ako sio Kama yangu kwanza bado Kuna debate ya kutukuza uafrika na kudharau ukoloni mamboleo
Tupa na simu tuone kama unatukuza kweli Mila kiafrika kama sio mwongo
 
😆😆😆😆 sasa mkuu hapo mimi kukupa tu taarifa ndio kosa langu ?
Uwasilishaji wako ulilenga ku criticise mrithi wa nape kujifukiza
Tupa na simu tuone kama unatukuza kweli Mila kiafrika kama sio mwongo
Hahaha-Yesu mwenyewe alitibu siku ya sabato,hutonielewa Kama utaendelea kukubali kukaririshwa,Roma alisema kipi Bora kufa Kama mwanaharakati,jk akasema zakuambiwa changanya na zako,sheria inasema tu every general rule there must be an exception,mtazamo wangu tu-mrisho mpoto alisema tukiona inafaa tuitumie
 
Ndio maana walimjaribu halafu wakamwona hafai kuwa waziri mwandamizi wa wizara nyeti za Sheria, East African Affairs, na Uchukuzi.

Wakamwondoa aende Utamaduni kufukuzana na kina Konki Piere kalewa kachekesha, Konki Oili Chafu katukana msibani, Konki Wasafi wametoa mwimbo mchafu, Mentali Amber Rutty kafanya michezo kinyume na maelekezo ya W.H.O...

Walishamwona Mwakyembe is far from a seriously capable guy.
 
Msomi mwalim wa chuo kikuu PhD holder anajifukiza mbele ya kamera usikute kazoa takataka na kuzichemsha kikubwa tu Mzee wa kusifiwa aione kwenye jalada ili nafasi ya uteuzi iwe reserved
 
Back
Top Bottom