Aiseee !!
Seriously, can you picture Professors Mwandosya and Mwakyusa doing this shit in public?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseee !!
Utakuta mleta mada jana tu alikuwa kwa mganga kafunuliwa funuliwa matakle na kupigwa chale kibao ila anamshangaa Mwakyembe anaejifanyia mambo kwa uwazi kabisa bila shinda na mtu.
URAYA=ULAYAYou are brain washed my br. Je wajua dawa nyingi utafiti wake huanzia kwenye mimea? Je wajua wazungu ndio watumiaji wengi wa Chinese traditional medicines? Nenda uraya na America unakoona ndio wastaarabu uone chinese medicines zinavyouzwa.
You are not exposed or most particulary elimu ya kuunga unga
wewe subiria za wazungu umezidiwa akili hata na masai wasiosoma ambao wana dawa za kimasai zinauzwa hadi ulaya na marekaniHii nchi kwa hali inayoendelea nayo ni vema wananchi tukaongeza maombi
Imani haithibitishwi kwa sayansiHii nchi kwa hali inayoendelea nayo ni vema wananchi tukaongeza maombi
Magufuli ni changer kwenye kila eneo.Hii nchi kwa hali inayoendelea nayo ni vema wananchi tukaongeza maombi
Babu ya babu yako alitumia mitishamba iliyothibitishwa na nani?Hii nchi kwa hali inayoendelea nayo ni vema wananchi tukaongeza maombi
Yathibitishwe na wazungu?,wewe ni jinga kweliHii nchi kwa hali inayoendelea nayo ni vema wananchi tukaongeza maombi
Mjinga sana weweHii nchi kwa hali inayoendelea nayo ni vema wananchi tukaongeza maombi
Kuna haja ya kuanza kutofautisha aina za Wanyakyusa,Mwandosya angekuwa Mnyakyusa wa aina hii asingeshindwa kuhudumu katika serikali hii.Huyu Mwakyembe ni myakyusa wa Kyela ndio maana anajipendekeza pendekeza kwa JIWE; angekuwa mnyakyusa asili wa TUKUYU asingefanya upuuzi huo!!! Wanyakyusa wa Tukuyu wamejimbua.
Badala ya kumbana mbowe aseme billion 8 amepeleka wapi vijana wa chadema wako bize kusambaza video za ngono!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Washirikina ndio walivyoHii nchi kwa hali inayoendelea nayo ni vema wananchi tukaongeza maombi
Brain Washed? Na wewe unajua mimea mingi sana ina sumu kali sana? Unajua mimea mingi ni slow killer? Unajua mimea mengi inaweza kuua figo?Unajua uyoga ni mmea vilevile na types nyingine ya uyoga ni sumu kali sana? Unajua wazee zamani walikuwa wanapaka mishale utomvu wa miti wakati wa vita a powerfull sumuYou are brain washed my br. Je wajua dawa nyingi utafiti wake huanzia kwenye mimea? Je wajua wazungu ndio watumiaji wengi wa Chinese traditional medicines? Nenda uraya na America unakoona ndio wastaarabu uone chinese medicines zinavyouzwa.
You are not exposed or most particulary elimu ya kuunga unga
video hiyo hapo