Video: Msomi Mwakyembe ajifukiza majani ambayo hayajathibitishwa na yeyote kutibu chochote

Video: Msomi Mwakyembe ajifukiza majani ambayo hayajathibitishwa na yeyote kutibu chochote

CCM NI CANCER YAANI AKILI ZAO ZINAFANANA
 

Attachments

  • IMG_20200501_213212.jpg
    IMG_20200501_213212.jpg
    72.6 KB · Views: 1
Utakuta mleta mada jana tu alikuwa kwa mganga kafunuliwa funuliwa matakle na kupigwa chale kibao ila anamshangaa Mwakyembe anaejifanyia mambo kwa uwazi kabisa bila shinda na mtu.

Subiri shule zifunguliwe ukajifunze kuandika kwanza.
 
You are brain washed my br. Je wajua dawa nyingi utafiti wake huanzia kwenye mimea? Je wajua wazungu ndio watumiaji wengi wa Chinese traditional medicines? Nenda uraya na America unakoona ndio wastaarabu uone chinese medicines zinavyouzwa.

You are not exposed or most particulary elimu ya kuunga unga
URAYA=ULAYA
 
Hii nchi kwa hali inayoendelea nayo ni vema wananchi tukaongeza maombi
wewe subiria za wazungu umezidiwa akili hata na masai wasiosoma ambao wana dawa za kimasai zinauzwa hadi ulaya na marekani

dawa za kimasai hakuna TBS wala mzungu wala mwanasayansi kadhibitisha na tunazinywa vizuri wewe endelea kunywa panadol za wazungu
 
Huyu Mwakyembe ni myakyusa wa Kyela ndio maana anajipendekeza pendekeza kwa JIWE; angekuwa mnyakyusa asili wa TUKUYU asingefanya upuuzi huo!!! Wanyakyusa wa Tukuyu wamejimbua.
Kuna haja ya kuanza kutofautisha aina za Wanyakyusa,Mwandosya angekuwa Mnyakyusa wa aina hii asingeshindwa kuhudumu katika serikali hii.

Tuli sijui anafeli wapi?Wanyaki wa Rungwe hapo hivyo kabisa..
 
You are brain washed my br. Je wajua dawa nyingi utafiti wake huanzia kwenye mimea? Je wajua wazungu ndio watumiaji wengi wa Chinese traditional medicines? Nenda uraya na America unakoona ndio wastaarabu uone chinese medicines zinavyouzwa.

You are not exposed or most particulary elimu ya kuunga unga
Brain Washed? Na wewe unajua mimea mingi sana ina sumu kali sana? Unajua mimea mingi ni slow killer? Unajua mimea mengi inaweza kuua figo?Unajua uyoga ni mmea vilevile na types nyingine ya uyoga ni sumu kali sana? Unajua wazee zamani walikuwa wanapaka mishale utomvu wa miti wakati wa vita a powerfull sumu
 
Back
Top Bottom