Kafiri weye kazi unayo mwaka huuMuhimu hii iwafikie wafia dini wa JF ambao hupenda sana kuabudu watu wa Iran na Uarabuni.... kuvaa kwako kanzu na kuotesha ndevu ili ufanane na wale haitoshi, ukiingia kwenye anga zao wanakuua, walimuua Mtanzania mmoja na kumtesa mwenzake.
View: https://youtu.be/PC0e170GSug?si=ZHbPD25IF4W7Cz_h
Hawa huwaambii lolote linapokuja suala la Mungu/allah! use of higher mental faculties kuchanganua mambo wanaziweka kando.....Hemu wajuvi mnisaidie hivi inakuwaje swala la kumuabudu mwenyezi Mungu muumba wetu linahusisha na mambo sijui ya jihad mara kuchinjana nyuma ya shingo mara kujitoa mhanga? NI KWELI HIZI HEKA HEKA ZINA BARAKA ZA MUNGU?
Uislamu hauhusiki na hayo mambo ,nakupa uhakika kame ungekuwa unahusika usingkuwa hata kidogo mpaka nchi za Europe.Hemu wajuvi mnisaidie hivi inakuwaje swala la kumuabudu mwenyezi Mungu muumba wetu linahusisha na mambo sijui ya jihad mara kuchinjana nyuma ya shingo mara kujitoa mhanga? NI KWELI HIZI HEKA HEKA ZINA BARAKA ZA MUNGU?
Kwa hiyo unataka tufuate dini yako? Mbona hata ushawishi hauna kabisa 😅😅😅.ha
Hawa huwaambii lolote linapokuja suala la Mungu/allah! use of higher mental faculties kuchanganua mambo wanaziweka kando.....
Mleta mada wacha uchochezi. Na nyie wachangiaji acheni ujinga. Huyo jamaa anasema ni madini yaliwapelka Iran na sio masuala ya diniMuhimu hii iwafikie wafia dini wa JF ambao hupenda sana kuabudu watu wa Iran na Uarabuni.... kuvaa kwako kanzu na kuotesha ndevu ili ufanane na wale haitoshi, ukiingia kwenye anga zao wanakuua, walimuua Mtanzania mmoja na kumtesa mwenzake.
View: https://youtu.be/PC0e170GSug?si=ZHbPD25IF4W7Cz_h
Huyu jamaa fanya kumzoea 😅😅hajawahi kuleta taarifa nzima ,huyo ni sawa n Max shimba ministries .Mleta mada wacha uchochezi. Na nyie wachangiaji acheni ujinga. Huyo jamaa anasema ni madini yaliwapelka Iran na sio masuala ya dini
Sasa na wewe ndugu unaingia kwenye mkumbo wa huyo mleta mada kuendeleza chuki. Mimi ni Mkatoliki. Nimeona huo ujumbe na bila kuegemea upande wowote nikaweka maoni yanguHuyu jamaa fanya kumzoea 😅😅hajawahi kuleta taarifa nzima ,huyo ni sawa n Max shimba ministries .
Unaweza kujiuliza mtu inakuwaje mpaka analeta porojo ili mradi kukashifu dini fulani? Halafu utasikia mpende adui yao.
Hao jamaa nakuambia ukifungua vifuani mwao wana chuki sana ,ogopa mkristo wana roho mbaya sana.
Huo ndio ukweli nakuambia ,punguzeni chuki !Sasa na wewe ndugu unaingia kwenye mkumbo wa huyo mleta mada kuendeleza chuki. Mimi ni Mkatoliki. Nimeona huo ujumbe na bila kuegemea upande wowote nikaweka maoni yangu
Na nyie mbona kila siku mnashobokea wazungu hadi wanakuja huko mombasa kuwapandisha na mbwa ila hamkomiMuhimu hii iwafikie wafia dini wa JF ambao hupenda sana kuabudu watu wa Iran na Uarabuni.... kuvaa kwako kanzu na kuotesha ndevu ili ufanane na wale haitoshi, ukiingia kwenye anga zao wanakuua, walimuua Mtanzania mmoja na kumtesa mwenzake.
View: https://youtu.be/PC0e170GSug?si=ZHbPD25IF4W7Cz_h
Yah, asamehewe bure. Ongeeni pia na moderators aidha wafunge uzi au warekebisheHuo ndio ukweli nakuambia ,punguzeni chuki !
Mwezi huu mnafunga ona mwenzio analeta uongo humu.
Jihad ni kiarabu maana yake ni juhudi,natumai umefanya juhudi nyingi Sana maishani mwakoHemu wajuvi mnisaidie hivi inakuwaje swala la kumuabudu mwenyezi Mungu muumba wetu linahusisha na mambo sijui ya jihad mara kuchinjana nyuma ya shingo mara kujitoa mhanga? NI KWELI HIZI HEKA HEKA ZINA BARAKA ZA MUNGU?
Iran wanafuata heroin,inayotoka Afghanistan na PakistanMuhimu hii iwafikie wafia dini wa JF ambao hupenda sana kuabudu watu wa Iran na Uarabuni.... kuvaa kwako kanzu na kuotesha ndevu ili ufanane na wale haitoshi, ukiingia kwenye anga zao wanakuua, walimuua Mtanzania mmoja na kumtesa mwenzake.
View: https://youtu.be/PC0e170GSug?si=ZHbPD25IF4W7Cz_h
Inatumika kama violence kwenye mlengo wa baadhi ya dini.Jihad ni kiarabu maana yake ni juhudi,natumai umefanya juhudi nyingi Sana maishani mwako
Nimekwambia jihad ni kiarabu maana yake juhudi,askari wa Vita vya msalaba walipoua.aelfu ya watu Jerusalem bila kujali dini zao,walikua wanafanya jihad/juhudi ya kidiniInatumika kama violence kwenye mlengo wa baadhi ya dini.