Each and everyday humu JF watu wanakuita wewe ni primitive lakini kumbe ni double primitive.Sikiliza wewe zwazwa jamaa amesema walikwenda kama watu wa dini, tena anasema kuhiji, hilo limetosha, mengine hayana umuhimu.
Uislamu hauhusiki na hayo mambo ,nakupa uhakika kame ungekuwa unahusika usingkuwa hata kidogo mpaka nchi za Europe.
Ishu ni moja tu unatakiwa kuusoma uislamu basi ...
Mpaka sasa marafiki zangu nao wamekuwa waislamu jaribu kukaa chini na kuusoma , uislamu haufuati idiols ni Qur na sunnah ...
Kwa nini wa dini zingine hawakwambii uisome dini yao?Dini ya mtu inaonekana kupitia matendo yake na si vitabu.Sisi kupitia waislam wa humu tunaona jazba,matusi,kejeli,vitisho,dharau na mengineyo mengi mabaya ambayo output yake ni mauaji na kutaka kulazimisha watu kufuata dini yenu kwa nguvu.Uislamu hauhusiki na hayo mambo ,nakupa uhakika kame ungekuwa unahusika usingkuwa hata kidogo mpaka nchi za Europe.
Ishu ni moja tu unatakiwa kuusoma uislamu basi ...
Mpaka sasa marafiki zangu nao wamekuwa waislamu jaribu kukaa chini na kuusoma , uislamu haufuati idiols ni Qur na sunnah ...
Nionyeshe kweny Qur an au sunnah za mtume?Kwahiyo uislamu hauna madhehebu?
😆😆😆Jomba utakonda wenzio wanafunga ,wanafanya toba mwezi wa kwaresma,ww uko busy na waislamu.Sikiliza wewe zwazwa jamaa amesema walikwenda kama watu wa dini, tena anasema kuhiji, hilo limetosha, mengine hayana umuhimu.
Kukuonesha nini?Nionyeshe kweny Qur an au sunnah za mtume?
Wewe mjinga kuandika kizungu ndio nini wewe fala?Ukitaka kuleta mada za kutukana utazipata kama huna cha kuandika kaa kimya.Punguani.
Hayo madhehebu!Kukuonesha nini?
Baba yako pia huwa unamuita binti?Jiheshimu au unataka tuwe kwenye level yako ya kukudhalilisha?Nimekutukana wapi binti?
Sasa nikuiteje wakati wewe ni mwanamke?Baba yako pia huwa unamuita binti?Jiheshimu au unataka tuwe kwenye level yako ya kukudhalilisha?
Kama mimi ni mwanamke baba yako pia ni mwanamke?Nilikuambia kwamba mimi ni mwanamke?Mchungulie baba yako ndio jinsia yangu.Sasa nikuiteje wakati wewe ni mwanamke?
kijana wacha kuleta habari za kichwani mwako.Muhimu hii iwafikie wafia dini wa JF ambao hupenda sana kuabudu watu wa Iran na Uarabuni.... kuvaa kwako kanzu na kuotesha ndevu ili ufanane na wale haitoshi, ukiingia kwenye anga zao wanakuua, walimuua Mtanzania mmoja na kumtesa mwenzake.
View: https://youtu.be/PC0e170GSug?si=ZHbPD25IF4W7Cz_h
Waislamu wanahiji Iran?Kafungwa kwa kosa lipi umesikia kwenye clip?Kwenye clip kasema eti Iran wanaamini kwamba ukimwi unaambukiza kama malaria!
Hajui hata wairan wanadhehebu gani ndio unataka kutuaminisha alikwenda kwa sababu ya dini?Njoo na gia nyingine mgalatia mjinga hata wenzako wamekukataa kwenye uzi huu.
Wisdom is chasing you but you are always faster.
😆😆😆Jomba utakonda wenzio wanafunga ,wanafanya toba mwezi wa kwaresma,ww uko busy na waislamu.
Yaani mpaka roho imejaa chuki ,sura imepoteza nuru kujishughulisha na mambo ya wengine.
Punguza panic dogo!
hehehe ndio umeandika nini, naona unavyoteseka kumjibu kila mtu kwenye huu uzi, hehehe pole ila huo uchafu wenu utasemwa tu.
Muhimu hii iwafikie wafia dini wa JF ambao hupenda sana kuabudu watu wa Iran na Uarabuni.... kuvaa kwako kanzu na kuotesha ndevu ili ufanane na wale haitoshi, ukiingia kwenye anga zao wanakuua, walimuua Mtanzania mmoja na kumtesa mwenzake.
View: https://youtu.be/PC0e170GSug?si=ZHbPD25IF4W7Cz_h