Video: Mtanzania aliyefungwa miaka 10 Iran kisa kafuata huko mambo ya dini

Sikiliza wewe zwazwa jamaa amesema walikwenda kama watu wa dini, tena anasema kuhiji, hilo limetosha, mengine hayana umuhimu.
Each and everyday humu JF watu wanakuita wewe ni primitive lakini kumbe ni double primitive.
I have a question for you; Hivi ulishawahi kusafiri nje ya Africa?
Pumbafffff.
 
 
Kwa nini wa dini zingine hawakwambii uisome dini yao?Dini ya mtu inaonekana kupitia matendo yake na si vitabu.Sisi kupitia waislam wa humu tunaona jazba,matusi,kejeli,vitisho,dharau na mengineyo mengi mabaya ambayo output yake ni mauaji na kutaka kulazimisha watu kufuata dini yenu kwa nguvu.
Yesu alisema "Mtawaona kwa matendo yao"
 
Sikiliza wewe zwazwa jamaa amesema walikwenda kama watu wa dini, tena anasema kuhiji, hilo limetosha, mengine hayana umuhimu.
😆😆😆Jomba utakonda wenzio wanafunga ,wanafanya toba mwezi wa kwaresma,ww uko busy na waislamu.

Yaani mpaka roho imejaa chuki ,sura imepoteza nuru kujishughulisha na mambo ya wengine.

Punguza panic dogo!
 
kijana wacha kuleta habari za kichwani mwako.
kakamatwa kwa wizi wa dhahabu wewe hivi unajiona wewe peke yako ndio umeona hiyo clip?
 
Reactions: Tui

Sikiliza clip kama umetulia tena pumua taratibu utasikia akieleza masuala ya kuhiji, mnatetea sana uchafu wenu huo.
 
😆😆😆Jomba utakonda wenzio wanafunga ,wanafanya toba mwezi wa kwaresma,ww uko busy na waislamu.

Yaani mpaka roho imejaa chuki ,sura imepoteza nuru kujishughulisha na mambo ya wengine.

Punguza panic dogo!

hehehe ndio umeandika nini, naona unavyoteseka kumjibu kila mtu kwenye huu uzi, hehehe pole ila huo uchafu wenu utasemwa tu.
 
Reactions: Tui
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…