Video: Mwamba Tundu lissu katika ubora wake

Suzy Elias

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2021
Posts
1,067
Reaction score
6,200
Your browser is not able to display this video.


Bonge la uwasilishaji hakika Tundu lisu nje ya mambo machache yanayo mkosesha heshima lkn ni mtu anayefahaa sana kuwa kiongozi tena mkubwa.

Jamaa ni mtaalam sana wa kujenga hoja tatizo lake ni ukali wa maneno.

Angalia hiyo video namna alivyokuwa anaongea unaona kabisa huyu mtu anao uchungu wa rasilimali zetu.

Ninachompendea TL siyo mnafiki.

Jionee mwenyewe kuanzia dakika ya nane alivyowasulubu Viongozi wezi wa kipindi kile.
 
Kinachoendelea kumfanya ahemewe na amsterdam ni nini?
Si arudi tu Tanzania
 
2021 hii Tunaelekea 2022 , Bwashee Unaturudisha Nyuma mbona....!
Tumjadili Mama jinsi Anavyoupiga Mw...!
 
Ndio maana risasi ziligoma kumudhuru.
1.Uchungu wake na maneno makali yasiyoyakinafiki.
2.Mungu alimtumia lissu awe mkali.
3.Lissu ni mdadisi wa maandishi.
4.Lissu siyo mwanasiasa,ila ni MWANAHAKI kindakindaki.
Angekuwa mwanasiasa angekuwa alishanunuliwa mapema asiropoke.
 
Hao watu wamefananishwa na uzao wa panya, woote ni WEZI..
Baba mwizi,
Mtoto mwizi,
Mjukuu mwizi,
Kitukuu mwizi,
Kilembwe mwizi,
Kining'ina mwizi 🙄
 
Hii nchi imeibiwa sana... MAJIZI YAMEIBA PESA SANA KATIKA NCHI HII.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…