Ikibididaga
Member
- Jun 14, 2022
- 70
- 50
Ha ha haaaa nmecheka kama mazuri aiseeKuna mwingine tupo nae kariakoo anapendwa na wateja zake kuanzia yeye mwenyewe na chakula chake nahisi na huyu pia achunguzwe tu maana wateja wakishamaliza Kula msosi wanabaki wamekaa tu bandani kwake kama mazombi vileeee!!!
DramaINAWEZA IKAWA DRAMA! AU KWELI
sasa mama ntilie hapo anaingia vp wakati tukio linaonekana limetokea nyumbani kabisa walipo baba mama na watoto.Leo nilikuwa nataka kupita kula Kwa mama ntilie nimagaili [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
We ni taahira? Labda mkeo ndo anakulisha nywele,unapata wapi guts za ku generolaizi? Oeni wake wanaojitambua acheni kuokoteza okotezasasa mama ntilie hapo anaingia vp wakati tukio linaonekana limetokea nyumbani kabisa walipo baba mama na watoto.
Kifupi ndani ya familia,amini nakwambia mama zetu dada zetu wafanyakazi wa ndani wanafanya sana mambo haya au yanayofanana na haya wakati wa mapishi.Unawahukumu bure mama ntilie wengi wao hupika chakula eneo la wazi yaani wapita njia wakiona ni ngumu kufanya haya wao zao hamira kwenye ugali na vizizi vya kufukia ktk maeneo yao ya biashara lkn wapishi kwenye familia zetu mara nyingi hupika wakiwa wenyewe bila macho ya watu wengine kuwepo ndo maana unaiona iyo video hapo ni nyumbani kwa mtu kabisa na inawezekana huyo akawa ni mama mwenye nyumba kabisa.
MWANAMKE NI SHETANI HEAVYWEIGHT KTK FAMILIA NA JAMII KWA UJUMLA ila hawaepukiki coz pale katikati mwao patamu mno lazma umuweke ndani tu ila ndo uwe tayari kula vyakula vilivyo miksiwa na nywele za sehemu zao siri au jasho la kwapa n.k
Aya ya 1 umeongea point, aya ya 2 umevurundasasa mama ntilie hapo anaingia vp wakati tukio linaonekana limetokea nyumbani kabisa walipo baba mama na watoto.
Kifupi ndani ya familia,amini nakwambia mama zetu dada zetu wafanyakazi wa ndani wanafanya sana mambo haya au yanayofanana na haya wakati wa mapishi.Unawahukumu bure mama ntilie wengi wao hupika chakula eneo la wazi yaani wapita njia wakiona ni ngumu kufanya haya wao zao hamira kwenye ugali na vizizi vya kufukia ktk maeneo yao ya biashara lkn wapishi kwenye familia zetu mara nyingi hupika wakiwa wenyewe bila macho ya watu wengine kuwepo ndo maana unaiona iyo video hapo ni nyumbani kwa mtu kabisa na inawezekana huyo akawa ni mama mwenye nyumba kabisa.
MWANAMKE NI SHETANI HEAVYWEIGHT KTK FAMILIA NA JAMII KWA UJUMLA ila hawaepukiki coz pale katikati mwao patamu mno lazma umuweke ndani tu ila ndo uwe tayari kula vyakula vilivyo miksiwa na nywele za sehemu zao siri au jasho la kwapa n.k
Exactly.Video inaonekana imetengenezwa, hilo shimo analochukulia video ni fresh na pia huyo mama anavyorusha rusha mikono.
Exactly.
Mchongo umetengenezwa kabisa.
Wakat vidudu vinakufa uchawi ndo unaiva umo umo mkujSemaa Nini vijidudu vimekufa humo humo kwenye mchuzi so ukila inakuwa protini .....
.hakuna tatizo hapo .....
View attachment 2448618
Kwa kawaida watu wa mitandaoni hupenda kushabiki mambo, lakini katika hili wanaonekana kukerwa na video ambayo inaonesha mwanamke mmoja akivua nguo yake ya ndani na kuiweka kwenye sufuria la mboga jikoni.
Katika video inayosambaa kwa kasi ya ajabu, mwanamama huyo ambaye tabia yake hiyo imetajwa kuwa si ya kistaarabu anaonekana hadharani akiwa nje akiandaa kitoweo kwenye jiko la kuni.
Lakini jambo linaloshtua wengi ni kumuona anavua nguo hiyo na kuitia kwenye sufuria ya kitoweo kilichokuwa kikitokota na kuanza kukikoroga kwa haraka.
Kisha baada ya hapo anafunika sufuria ya kitoheo na kukiacha kuchemke zaidi. Mwanamke huyo anaonekana akimfukuza mtoto mdongo pindi tu anapomletea bakuli na kuanza kukoroga mchuzi huo.
Video hiyo ambayo kwa mara ya kwanza ilipostiwa mtandao wa Twitter ikiwa na sekunde 59, imeonekana kuwachefua roho wanamitandao wengi wakionekana kuapa kutokula vyakula vya kwenye baadhi ya vibanda vya mama ntilie.
Wazee tuwe makini
Inahusiana vipi na mwanamke goalkeeper, mind you ni mwanamke mwenzako na anatimiza majukumu yake mengi ambayo wewe umemwachia house girl. Umepata ajira au biashara nzuri shukuru lakini kamwe usiitumie kumuundermine mwenzako.Afu utashangaa watu wanasema bora mwanamke goalkeeper[emoji15]
most likely, nani alimpiga picha na kwa nini? mbona binti ni "mlala hoi" asiyewaza kuhofiwa?Drama