Video: Mwanamke anaswa akiweka chupi kwenye chakula

Leo nilikuwa nataka kupita kula Kwa mama ntilie nimagaili [emoji848][emoji848][emoji848][emoji848]
sasa mama ntilie hapo anaingia vp wakati tukio linaonekana limetokea nyumbani kabisa walipo baba mama na watoto.
Kifupi ndani ya familia,amini nakwambia mama zetu dada zetu wafanyakazi wa ndani wanafanya sana mambo haya au yanayofanana na haya wakati wa mapishi.Unawahukumu bure mama ntilie wengi wao hupika chakula eneo la wazi yaani wapita njia wakiona ni ngumu kufanya haya wao zao hamira kwenye ugali na vizizi vya kufukia ktk maeneo yao ya biashara lkn wapishi kwenye familia zetu mara nyingi hupika wakiwa wenyewe bila macho ya watu wengine kuwepo ndo maana unaiona iyo video hapo ni nyumbani kwa mtu kabisa na inawezekana huyo akawa ni mama mwenye nyumba kabisa.

MWANAMKE NI SHETANI HEAVYWEIGHT KTK FAMILIA NA JAMII KWA UJUMLA ila hawaepukiki coz pale katikati mwao patamu mno lazma umuweke ndani tu ila ndo uwe tayari kula vyakula vilivyo miksiwa na nywele za sehemu zao siri au jasho la kwapa n.k
 
Tunaorudi majumbani wenye wake zetu,michepuko tukatane dodoma ukumbi wa ccm tuweze kulijadili tuweze kuteuwa wajumbe kabla tujazurika
 
We ni taahira? Labda mkeo ndo anakulisha nywele,unapata wapi guts za ku generolaizi? Oeni wake wanaojitambua acheni kuokoteza okoteza

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Aya ya 1 umeongea point, aya ya 2 umevurunda

Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
 
Exactly.

Mchongo umetengenezwa kabisa.

Yepp, hiyo video inaonekana kabisa imetengenezwa.

Lakini hiyo imeakisi kwenye uhalisia huku mtaani, ni kweli asilimia kubwa ya mama ntilie hivyo vitu wanafanya mnoo na baadhi ya mautumbo mengine zaidi ya hiyo.
 
Ataachika tuu.. Maana inaelekea kabisa huu ni mchongo
 

Huyo alietoboa hilo li playwood ndo wewe au
 
Vitu vingine ni vitu vya kupewa bure
huwezi kununua, kuiba, kulazimisha.
mtu akupende bila sababu unajisikiaje kujua mtu anakupenda kwasababu umemuwekea chupi chafu kwenye chakula?
Una akili timamu?
Roho yako iko sawa au una roho chafu imekukalia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…